Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,146
- 190,618
😅😅😅😅😅😅😅😅 mwanamke kama hataki mwache aende zake usimbake...Kulazimisha penzi ni hatari sawa na kulazimisha fani mwisho unaleta utani! ~ Afande seleHapo uliposema kama mwanamke hana hisia na wewe tayari ni tatizo...kwa nini uwe na mtu ambae hana hisia na wewe??? Kwa nini usitafute mtu anaekukubali wewe kama wewe shida ndio inaanziaga hapo. Kuna wanaume ni ving'ang'anizi unakuta jamaa anamtaka mwanamke na anaona kabisa hapendwi lkn anatumia pesa ampate lazima uje apigwe kisogoni na kitu chenye ncha kali.
Sikuhizi kubakwa mtu anabakwa kwa kunyamazishwa na hela😅😅😅kubakwa kumegeuzwa barter trade! Unapewa penzi bila hisia tu ukijiloga kuwekeza na mihela umeisha! Hutaamini siku unaachwa kwenye mataa