Wanawake wengi mnafeli hapa

Wanawake wengi mnafeli hapa

Mwanamke anataka kupata pesa faster nakirahisi = Mwanaume anataka kupata sex faster na kirahisi.
Ndio maisha lakini
 
Na ukiwa mwepesi kutoa anatangaza kwa shoga zake nimelipata buzi hilo linachunika hatariiii, kiufupi bwege flan hivi limbukeni,

Lol, binaadam sie mwenye kuridhika.

Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Huwa najiuliza ni dunia nzima au labda ni huku kwetu ambapo hali ya uchumi ni dhoofu sana?
 
Na nyie wanaume mmbadilike!
Yaani unakutana na mwanamme anakununulia ka soda ka fanta orange, hata hujainywa ikafika nusu eti anaanza kujisemesha "Hivi hapa kuna vyumba vya kupumzikia kweli..."
 
Wanawake wa kileo wengi ukimtongoza leo na anakuambia shida hapo hapo. Na wengi hawaolewi kwa visa hivi. Fahamiana na mtu kwanza na mengine yataendelea.Wengi mnaingia mtegoni kwa ku-expose matatizo yenu mapema.

Povu ruksa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla hujamfata anaonekana wa kishua na karidhika sana.

Tena ogopa sana hizi mbuzi za Insta zinazopenda kupost zinaogelea au vyakula vya bar na hotel wakati zinashindiaga chips kavu na maji, zina njaa sanaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anataka nikate ndevu zote yani kuzichonga pia ataki , kwanza alikua atulie tujuane vizuri tuelewane thn akishanizoea ndio alete mbwembwe zake, mtoa post hakukosea kwamba wanawake wanafeli mwanzo wa mahusiano kutokana na pupa zao, kuna mmoja ananiuliza eti nina accont ya bank
Kwan mtu akihitaji mchumba anakua hana chaguzi yaan yoyote yeye amzoe? Amekwambia umemvutia kosa lake liko wapi?

Lol, mbona 'endsam'

Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi kuna mmoja ametangaza anatafuta mchumba, nikamwambia mm akaniambia njoo dm, sikuenda, akanitext dm, akaniambia nimtumie picha, nikamtumia, akaniambia kumetokea watu zaidi ya 20 lakini ww ndie nimekupa nafasi ya kwanza coz unanivutia, nilishtuka kwanza, nikajiuliza akilini mwangu huyu anatafuta mchumba ama handsome? Hapohapo ktk akili yngu nikamshusha thamani, akaniambia tena mm sipendi midevu nataka uyakate, nikamwambia ndevu zangu nazipenda kuliko kitu chochote, nikampotezea akaendelea kunitafuta, mwisho nilipomwambia ukweli kama niko nje ya nchi aliandika ukurasa wa masms mpka nikalogoff, yaani hakutaka tena mbwembwe , anasema ivyoivyo ananitaka

Nikablock kama kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh mbona kama umeandika katangazo hivi 😂😂😂
 
Wanawake wa kileo wengi ukimtongoza leo na anakuambia shida hapo hapo. Na wengi hawaolewi kwa visa hivi. Fahamiana na mtu kwanza na mengine yataendelea.Wengi mnaingia mtegoni kwa ku-expose matatizo yenu mapema.

Povu ruksa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mmoja nimemtongoza siku ya kwanza, siku ya pili akalia shida ya 100K nikasema nisimpe, baadae tumechat akanikumbusha tena nikamuonea huruma nikampa 50K
Kakaa siku kadhaa akaomba 20K nikampotezea mazima, ndani ya wiki mtu anapiga mizinga hatari alafu ni muajiriwa wa siku nyingi tu.

Sitaki mwanamke atangulize shida maana hata mimi nina shida zangu na ndugu zangu wana shida pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi kuna mmoja ametangaza anatafuta mchumba, nikamwambia mm akaniambia njoo dm, sikuenda, akanitext dm, akaniambia nimtumie picha, nikamtumia, akaniambia kumetokea watu zaidi ya 20 lakini ww ndie nimekupa nafasi ya kwanza coz unanivutia, nilishtuka kwanza, nikajiuliza akilini mwangu huyu anatafuta mchumba ama handsome? Hapohapo ktk akili yngu nikamshusha thamani, akaniambia tena mm sipendi midevu nataka uyakate, nikamwambia ndevu zangu nazipenda kuliko kitu chochote, nikampotezea akaendelea kunitafuta, mwisho nilipomwambia ukweli kama niko nje ya nchi aliandika ukurasa wa masms mpka nikalogoff, yaani hakutaka tena mbwembwe , anasema ivyoivyo ananitaka

Nikablock kama kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using My COVID-19
 
Back
Top Bottom