Goddess
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 7,397
- 25,836
![]()
![]()
![]()
atongoze akina nani sasa. Na atajuaje yupi mfanyabiashara na yupi sio?
hata mm sijui wanakuaje ila aache![]()
![]()
![]()
atongoze akina nani sasa. Na atajuaje yupi mfanyabiashara na yupi sio?
hata mm sijui wanakuaje ila aacheDuu kwahiyo unataka kusema mwanamke anayetafuta mchumba hatakiwi kuchagua kabisa au😐Hahahahaha ukweli huo mkuu, wana chagu sana hawa, yaani mwanzo wanakuchukulia poa maana nilijishusha sana, kama mwanamke yuko na nia ya kutafuta mchumba basi anakua hana mbwembwe sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kwetu tu, huko duniani kila kitu ni 50/50, yaan kila mmoja ana wajibika.Huwa najiuliza ni dunia nzima au labda ni huku kwetu ambapo hali ya uchumi ni dhoofu sana?
Hapana ulijiuliza kama anataka mchumba au HANDSOME hiyo ni baada ya kuona picha yako akakwambia amevutiwa na wewe.No sikusema, nimesema nina midevu mingi, yy kasema kavutiwa na mm ila hapendi midevu, nikamwambia ndevu zangu nazipenda kuliko chochote
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu kwahiyo unataka kusema mwanamke anayetafuta mchumba hatakiwi kuchagua kabisa au![]()
Hapana ulijiuliza kama anataka mchumba au HANDSOME hiyo ni baada ya kuona picha yako akakwambia amevutiwa na wewe.
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Anataka nikate ndevu zote yani kuzichonga pia ataki, kwanza alikua atulie tujuane vizuri tuelewane thn akishanizoea ndio alete mbwembwe zake, mtoa post hakukosea kwamba wanawake wanafeli mwanzo wa mahusiano kutokana na pupa zao, kuna mmoja ananiuliza eti nina accont ya bank
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Juzi kuna mmoja ametangaza anatafuta mchumba, nikamwambia mm akaniambia njoo dm, sikuenda, akanitext dm, akaniambia nimtumie picha, nikamtumia, akaniambia kumetokea watu zaidi ya 20 lakini ww ndie nimekupa nafasi ya kwanza coz unanivutia, nilishtuka kwanza, nikajiuliza akilini mwangu huyu anatafuta mchumba ama handsome? Hapohapo ktk akili yngu nikamshusha thamani, akaniambia tena mm sipendi midevu nataka uyakate, nikamwambia ndevu zangu nazipenda kuliko kitu chochote, nikampotezea akaendelea kunitafuta, mwisho nilipomwambia ukweli kama niko nje ya nchi aliandika ukurasa wa masms mpka nikalogoff, yaani hakutaka tena mbwembwe, anasema ivyoivyo ananitaka
Nikablock kama kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app



Juzi nilikua kwenye mjadala kama umeanza kudate na mtu halafu akakwambia ana allergy na mbwa je utamtoa mbwa wako kwa ajili yake?
Aisee ulikua mjadala moto, watu walipanic yaan just someone i date aje tu aniambie hivyo halafu nimtoe mbwa wangu niliyemzoea kwa miaka mitatu, hell no ataenda yeye au atameza vidonge vya allergy,
Hii ishu yako ya ndevu ndio imenikumbusha, kiufupi huyo mtu alikua controller, angekusumbua sana.
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Hao wa hivyo unawaweka kwenye ile category ya nipe nikupe, then maisha yanaendelea.
Kwa iyo alivyojua upo njee akawa anajua una maisha mazuriJuzi kuna mmoja ametangaza anatafuta mchumba, nikamwambia mm akaniambia njoo dm, sikuenda, akanitext dm, akaniambia nimtumie picha, nikamtumia, akaniambia kumetokea watu zaidi ya 20 lakini ww ndie nimekupa nafasi ya kwanza coz unanivutia, nilishtuka kwanza, nikajiuliza akilini mwangu huyu anatafuta mchumba ama handsome? Hapohapo ktk akili yngu nikamshusha thamani, akaniambia tena mm sipendi midevu nataka uyakate, nikamwambia ndevu zangu nazipenda kuliko kitu chochote, nikampotezea akaendelea kunitafuta, mwisho nilipomwambia ukweli kama niko nje ya nchi aliandika ukurasa wa masms mpka nikalogoff, yaani hakutaka tena mbwembwe, anasema ivyoivyo ananitaka
Nikablock kama kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo mjadala ulikuwa humu humu JF ?? Kama ndiyo ni uzi wa nani huo aisee nikautafute ??Juzi nilikua kwenye mjadala kama umeanza kudate na mtu halafu akakwambia ana allergy na mbwa je utamtoa mbwa wako kwa ajili yake?
Aisee ulikua mjadala moto, watu walipanic yaan just someone i date aje tu aniambie hivyo halafu nimtoe mbwa wangu niliyemzoea kwa miaka mitatu, hell no ataenda yeye au atameza vidonge vya allergy,
Hii ishu yako ya ndevu ndio imenikumbusha, kiufupi huyo mtu alikua controller, angekusumbua sana.
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
kweli kabisa. Na kipindi hicho unakuwa ushajiwekeza kifikra na kihisia kiasi kwamba kuchomoka inakuwa ngumu, unaishia kulalamika pembeni lakini kuacha huwezi. Mpaka ukija kutahamaki unagundua ulikuwa unapigiwa timing kitambo ujae kwenye 18.Bora wanaoexpose mapema vishida vya buku mbili tatu. Kuna mwingine anakaushaaaa mnafika Mbali Mbali kidogo ndo anaanza baada ya mwaka. Mizinga atakayokupiga utatamani hawa wa buku buku.
Hapana haukua humu jf, ni site ingine kabisa.Huo mjadala ulikuwa humu humu JF ?? Kama ndiyo ni uzi wa nani huo aisee nikautafute ??
Oohh sawa dearHapana haukua humu jf, ni site ingine kabisa.
Corona Virus: Stay Home the only Medicine found.
Mkuu mbona wewe ndio unaonekana uko na tatizo!Juzi kuna mmoja ametangaza anatafuta mchumba, nikamwambia mm akaniambia njoo dm, sikuenda, akanitext dm, akaniambia nimtumie picha, nikamtumia, akaniambia kumetokea watu zaidi ya 20 lakini ww ndie nimekupa nafasi ya kwanza coz unanivutia, nilishtuka kwanza, nikajiuliza akilini mwangu huyu anatafuta mchumba ama handsome? Hapohapo ktk akili yngu nikamshusha thamani, akaniambia tena mm sipendi midevu nataka uyakate, nikamwambia ndevu zangu nazipenda kuliko kitu chochote, nikampotezea akaendelea kunitafuta, mwisho nilipomwambia ukweli kama niko nje ya nchi aliandika ukurasa wa masms mpka nikalogoff, yaani hakutaka tena mbwembwe, anasema ivyoivyo ananitaka
Nikablock kama kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaha nakaziaSi useme tuu huna hela brazaa,.kwani shin'ngapii?