rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,170
- 43,969
Yani unawazaa shida za pesa zitakazoanza kujaa..!!Haha joh nimecheka sana yan me sahiv had kumwomba dem namba naogopa yan Unakufa leoleo kizinga usitume huone huon text wala beeping haha
Yani unawazaa shida za pesa zitakazoanza kujaa..!!Haha joh nimecheka sana yan me sahiv had kumwomba dem namba naogopa yan Unakufa leoleo kizinga usitume huone huon text wala beeping haha
Namshauri atoe tu pesa maana hamna namna.
Ukweli kuwa wanatutegemea tuwape helaUkweli kuwa wewe upo kwa ajili ya kuwapa wanawake hela? Hapans miimi nipo kwa ajili ya mambo mengi sana na kuwapa wanawake hela si moja ya sababu ya mimi kuwepo.
We kiande nn unafatilia had profile huna kaz nn? Kama huna sema upewe kaz unapoteza mda kufatilia profile za watu fatilia maisha yako yatakusaidiaHiyo avatar yako kaweke fb,toka nianze kutumia jf sijawahi kuona mtu kaweka profile ya kiboya namna hii
Haha[emoji23][emoji23] mbavu zangu sijui ni fundi viatu huyo jamaaAvatar yake inaonesha hela, zako mara nyingi zinaonesha viatu....
Haaa mkuu simaanish hivyo namaanisha urafik tu wakawaida na hata kama ni mapenz Kuna takiwa kuvumiliana weng hawana hiloMwanamke atazaa kwa uchungu mwanaume ale kwa JASHO,kwa hiyo ww unataka upewe bure? Hata chupi kumnunulia hutaki,[emoji23][emoji23][emoji23]acha wale wenye vyao mkuu!!
Hiv wanawake hamuwez kua na urafik na mwanaume had umuombe hela? Haf Ukiomba usipopewa et una Nuna Na urafik unapungua kwan Si tunaokota Hela? badiliken fanyen kazi Dada zetu.
AhahahaaaaaaNamshauri atoe tu pesa maana hamna namna.
Narudia tena atoe tu pesa, kama hana aache urafiki na sisi kabisa.
😱😵umeongea kwa hasira kweli yaniMkuu Badilika kwanini hautafuti pesa nyingi ili uhonge kimya kimya bila kuja mbio kulalamika JF kama kitoto kinachonukia maziwa[emoji35][emoji35] . Tafuta pesa uhonge wewee eti wanawake badilikeni tubadilike nini tuote mb**o au? Uvivu tu na umarioo unakuja kulia lia hapa hakuna papuchi za bure wee mtoto tafuta chapaaa Wenye pesa zao hawana hizi kelele zako.
Hivi wanawake wanakuwa na simu ngapi, wanaomba sana kununuliwa simu kwa madai kuwa walizonazo ni mbovu au ni za mama zao!!
Hivi vichekesho vyao hawa matapeli huwa nacheka sana!!
Haha[emoji23][emoji23] mbavu zangu sijui ni fundi viatu huyo jamaa
cio woteeeHiv wanawake hamuwez kua na urafik na mwanaume had umuombe hela? Haf Ukiomba usipopewa et una Nuna Na urafik unapungua kwan Si tunaokota Hela? badiliken fanyen kazi Dada zetu.