Wanawake Wengi mbadilike

Wanawake Wengi mbadilike

Itabid njifunze kwako Muheshimiwa
Mwengine unamwambia Kwan unauza tufanye biashara kama ndo anajifunza kudanga atakataa ndo dawa ya Hawa viumbe au unamwambia "Sina " picha linaisha. Ujinga wa mademu wakibongo ukiwapa pesa wanakuita danga au kusema nimemlia pesa yake Sasa we unampa kwa roho njema yeye anakudharau so dawa Moja ni uchoyo akikusumbua sana mwambie ajitangaze yeye ombaomba tuanze kumchangia
 
Mwengine unamwambia Kwan unauza tufanye biashara kama ndo anajifunza kudanga atakataa ndo dawa ya Hawa viumbe au unamwambia "Sina " picha linaisha. Ujinga wa mademu wakibongo ukiwapa pesa wanakuita danga au kusema nimemlia pesa yake Sasa we unampa kwa roho njema yeye anakudharau so dawa Moja ni uchoyo akikusumbua sana mwambie ajitangaze yeye ombaomba tuanze kumchangia
Haha joh joh huo ni Ukwel mtupu yan Unakufa anashindwa tu kukwambia kua anajiuza bola wafanya kaz tu tutegemeane
 
Kila manzi unaeanza kuwasiliana nae basi jua birthday yake imekaribia.

Sihitaji marafiki wa kike, labda badae wakitokea.....
[emoji23][emoji23] afu ikipita anasahau kua miez michache alikwambia anataka zawad tena
 
Hiyo big point joh yan nimejifunza wanaume changia kutoendelea kwa mwanaume tena ukiwa na mwanamke asiejua Thaman Ata ya sh100
Binafsi mdudu anayeitwa mchepuko ctaki kabisa kumsikia, hata mwanamke nnaeishi nikiona haelekei ktk kutimiza ndoto za mafanikio natupilia mbali.

Wapo wanawake wanaojua kutafuta na waume zao ila hivi vya siku hizi utavisikia....

"Baby kuna kitu nataka nikwambie cjui utakubali?"
 
Binafsi mdudu anayeitwa mchepuko ctaki kabisa kumsikia, hata mwanamke nnaeishi nikiona haelekei ktk kutimiza ndoto za mafanikio natupilia mbali.

Wapo wanawake wanaojua kutafuta na waume zao ila hivi vya siku hizi utavisikia....

"Baby kuna kitu nataka nikwambie cjui utakubali?"
Babu ukiona hivyo tu hamna kingine ni mtonyo tu yan wanawake wa ku hustle ukiwapata ni kuwaganda tu na wako adimu sana yan mjin
 
Honestly, huu ndo ukweli wenyewe japo wanaume wengi tunajaribu kupingana nao
Ukweli kuwa wewe upo kwa ajili ya kuwapa wanawake hela? Hapans miimi nipo kwa ajili ya mambo mengi sana na kuwapa wanawake hela si moja ya sababu ya mimi kuwepo.
 
Back
Top Bottom