Wanawake wengi hawana Elimu ya uzazi

Wanawake wengi hawana Elimu ya uzazi

Cyclopedia

Member
Joined
Nov 11, 2015
Posts
25
Reaction score
41
Kwa nini ubebe mimba ya mtu ambaye hajaitaka!!

Kisa kinaanza kuna mwanamke mmoja (mchepuko) nilikuwa na mahusiano nae siku moja niliruka nae ila kabla ya sex alinihakikishia kuwa ana kijiti cha uzazi wa mpango ila kushangaza siku ya jana sina hili wala lile naona sms inaingia anadai ana ujauzito. Nilipohoji kuhusiana na kijiti alicho nacho anadai kiliisha muda toka tar 06/10. Na hapa wife pia ni mjamzito yaan nimebaki njia panda.​
 
Kwa nini ubebe mimba ya mtu ambaye hajaitaka!!
Kisa kinaanza kuna mwanamke mmoja (mchepuko) nilikuwa na mahusiano nao siku moja niliruka nao ila kabla ya sex ulinihakikishia kuwa una kijiti cha uzazi wa mpango ila kushangaza siku ya jana sina hili wala lile naona sms inaingia anadai ana ujauzito. Nilipohoji kuhusiana na kijiti alicho nacho anadai kiliisha muda toka tar 06/10. Na hapa wife pia ni mjamzito yaan nimebaki njia panda.
Chukua accountability na upunguze ukicheche.
Japo ni kweli elimu ya afya ya uzazi bado ni changamoto.
 
Kwa hiyo kisa mtoto hakai tumboni mwako unakojoa kojoa tu hujui matumizi ya condom?? Wewe mwenyewe huna elimu ya uzazi
 
Back
Top Bottom