HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,566
Ninashida moja kila mwanamke nitakayemuona nimzuri na anamvuto kwangu naambiwa tayari alikwisha kuolewa au amechumbiwa..
Najiuliza kwa hiyo wanawake wabaya wote ndiyo hawajaolewa au kuchumbiwa?
Tambua hili Kama haujaolewa au kuchumbiwa na wewe nakuweka kwenye group la wanawake wabaya na wasiokuwa na mvuto kwangu..
Ina maana umezunguka UDOM, UDSM, IFM, DIT, St Johns, SAUT, CBE nk na kote huko ukakuta wazuri wote wameolewa? Inawezekana unavutiwa sana na wale ambao tayari wana ndoa na ndiyo maana haupati muda wa kukutana na kuvutiwa na wale walio single!
Take care, utaumia.