Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wanawake wawili wamefariki dunia wakiwa katika nyumba mbili tofauti za kulala wageni jijini Dar es Salaam. katika tukio la kwanza maiti ya mwanamke mmoja anaekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25 imekutwa katika nyumba ya kulala wageni ya Mako, iliyoko Mwananyamala, chanzo cha kifo hicho bado hakijafahamika mwili wa marehemu, ulikutwa hauna nguo wala jeraha lolote. Tukio lingine maiti ya mwanamke anayekadiriwa kuwa na miaka 25. imekutwa katika nyumba ya kulala wageni ya Mti Mmoja, maeneo ya Sinza, maiti ikiwa aina nguo pembeni kulikuwa na matapishi ya mabaki ya chips na vipande vya nyama ya kuku. marehemu alifika kwenye nyumba hiyo akiwa na mwanaume.
SOURCE: Mwananchi Aprili 16, 2011
SOURCE: Mwananchi Aprili 16, 2011