Kwa hiyo na wewe unahongwaHabari wana JF
Niende kwenye maada hawa wake za watu na wamam watu wazima wanaonga kiwango cha SGR
Nina experience kwenye hili Kwahiyo nawasihii vijana mnaopigwa vizinga deile hamieni upande wa pili mje kula mema ya nchi ..
Uzi tayari...
Naam! kumbe jamaa anaunga mkono juhudi.Kwa hiyo na wewe unahongwa
Mariooo
Vijana tutafute hela zetu kwa jasho letu wenyewe
Sawa sawaAnayumba awezi kutofautisha umarioo ma kuhongwa
anza kutembea na KY kuanzia sasawake za watu
Furushi kama furushi.
Kama upo Dar nipe DM namba ya wamama wawili nikakusaidieHabari wana JF
Niende kwenye maada hawa wake za watu na wamam watu wazima wanaonga kiwango cha SGR
Nina experience kwenye hili Kwahiyo nawasihii vijana mnaopigwa vizinga deile hamieni upande wa pili mje kula mema ya nchi ..
Uzi tayari...
Wanakuja vijana wenzio 😂Habari wana JF
Niende kwenye maada hawa wake za watu na wamam watu wazima wanaonga kiwango cha SGR
Nina experience kwenye hili Kwahiyo nawasihii vijana mnaopigwa vizinga deile hamieni upande wa pili mje kula mema ya nchi ..
Uzi tayari...
Slope za Kipuuzi 😁Ganda la ndizi.
Hupendi kuwa Kama yeye?😜Slope za Kipuuzi 😁
Mi sio kijana aisee, nimetoka kwenye huo umriHupendi kuwa Kama yeye?😜