nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
- Thread starter
- #21
Ntonye ushawahi kaa na mshoga akakueleza alianzaje..ukiacha yule wa jf
Wengi wao husingizia eti alianzishiwa mchezo huu akiwa boarding, wengine eti alibakwa, wengine eti wamezaliwa wakajikuta wako hivyo, hawa wote ni waongo tamaa zao ndio zinawaponza mbona wakati tuko vijijini hii tabia haikuwepo ipo mjini tu inamaana watu wa mjini ndo wako hivyo