'Wanawake wasomi wanatoka nje zaidi ya wanaume...'

omujubi

JF-Expert Member
Dec 6, 2011
4,325
2,498
Salaamu wanajamvi,

Nami nikaona sio vibaya leo kukatiza kwenye jukwaa hili. Na hii ni juu ya wenzetu wadada na wamaa walioenda shule tukitarajia ingesaidia kuimarisha familia na mahusiano yao.

Wameenda shule. Wana kazi zenye hadhi kubwa na mara nyingi wakiendesha magari ya kisasa. Lakini nyuma ya pazia la haya yote, wanawake waliosoma wanajihusisha na udanganyifu kwenye mapenzi (mahusiano) zaidi ya wenzao wasio elimika, kulingana na takwimu mpya zilizopatikana.

My take:
Mazingira ya wenzetu hawa yanafanana sana na hapa Tanzania na nashawishika kuamini kuwa huenda hali hapa kwetu ikawa ni zaidi hawa wenzetu, wote tunajua hilo. Sijui ni sababu ya teknolojia au umasikini! Kuna mwenye mawazo zaidi au tofauti?

hj.jpg

Source: 'Educated women more promiscuous than men'
 
I don't believe it, nasita kubaliana na hizo survey zao hata siku moja :biggrin:
 
Omojubi huitaji research n all that, tembelea vio vyetu tu vya hapa town ifm,cbe, ustawi,udsm then followup on gals, utatamani utapwike:A S embarassed::A S embarassed:
Kati ya walio respond katika hilo mmoja anasema hihi: “It is like you are telling someone down in the village not to send their daughters to school because they will be promiscuous,”
Rafiki yangu mmoja taxi driver anayepafahamu vizuri UDSM juzi alinieleza madhila aliyokumbana nayo kule 'Yombo', kwa hakika tungelijua/kusikia hilo tungeshawishika kusema hivyo pia. Inachanganya hasa!
 
Confidence, Confidence, confidence!

Ila si wote, kuna wale wenzetu wa mafiga matatu sijui elimu yao inaangukia wapi kwenye utafiti huu.
 
mimi ninachojua wanawake wasomi wanaongoza kwa kunyanyasa waume zao.hasaa pale anapokuwa na kazi nzuri zaidi ya baba.

Hakuna kunyanyaswa kubaya kama mwanaume kunyimwa unyumba na mkewe kwa visingizio tofauti lakini kikubwa ikiwa ni kujifanya kuwa busy kazini na uchovu kutokana na kazi. Hata pale mwanaume anapopewa unyumba hapewi kwa kiwango kinachotakiwa zaidi ya kukojoleshwa kimoja kama vile anapigishwa nyeto.
 
inferiority complex ndio inachanganya wanaume waliooa wanawake wenye elimu zao...unajua mwanamke akimpenda kweli mumewe hatajali suala la elimu yake, hapo huwa na mapenzi tu kwani angejali elimu yake hata asingekuwa tayari kuolewa na mwanaume ambaye hajamfikia kielimu. Pia wanaume wenyewe mnakuwa mnajistukia kuwa mkeo anakunyanyasa kutokana na alimu yake na kazi yake, hapo utakuta mwanaume anaanza kumtibua mkewe kwa visa mbalimbali, sasa hapo mke akijaribu kumrekebisha anaanza kusema ananyanyaswa kisa hana elimu kama ya mkewe...hii iko 50/50 kwani kuna ambao kiukweli wananyanyasa waume zao kwa sababu ya elimu ila sio wote jamani tuwekane sawa hapa.
 
Confidence, Confidence, confidence!

Ila si wote, kuna wale wenzetu wa mafiga matatu sijui elimu yao inaangukia wapi kwenye utafiti huu.
Mimi naona huo utafiti uko sawa sawa kabisa. mwanamke akielimika, obvious anakuwa na exposure ya kutosha. Huko ndiko anakokutana na vidume kibao.
Mfano halisi wewe Kongosho; imagine ungekuwa huna shule hata kidogo na uelewa wa haya mambo ya internet, ungemfahamu Rejao, Asprin, EMT, Bishanga na klorokwini?
 
Last edited by a moderator:
Mimi naona huo utafiti uko sawa sawa kabisa. mwanamke akielimika, obvious anakuwa na exposure ya kutosha. Huko ndiko anakokutana na vidume kibao.
Mfano halisi wewe Kongosho; imagine ungekuwa huna shule hata kidogo na uelewa wa haya mambo ya internet, ungemfahamu Rejao, Asprin, EMT, Bishanga na klorokwini?
Mimi naunga mkono huu utafiti. Usomi unampelekea mwanamke kuajiriwa ofisini na ofisini hakuna asiejua kwamba ndio transit za kuelekea gesti hauzi. Haya tunayoyaona ofisini usizani ni maigizo bana ndio hali halisi yenyewe
 
Salaamu wanajamvi,

Nami nikaona sio vibaya leo kukatiza kwenye jukwaa hili. Na hii ni juu ya wenzetu wadada na wamaa walioenda shule tukitarajia ingesaidia kuimarisha familia na mahusiano yao.

Wameenda shule. Wana kazi zenye hadhi kubwa na mara nyingi wakiendesha magari ya kisasa. Lakini nyuma ya pazia la haya yote, wanawake waliosoma wanajihusisha na udanganyifu kwenye mapenzi (mahusiano) zaidi ya wenzao wasio elimika, kulingana na takwimu mpya zilizopatikana.

My take:
Mazingira ya wenzetu hawa yanafanana sana na hapa Tanzania na nashawishika kuamini kuwa huenda hali hapa kwetu ikawa ni zaidi hawa wenzetu, wote tunajua hilo. Sijui ni sababu ya teknolojia au umasikini! Kuna mwenye mawazo zaidi au tofauti?

View attachment 54287

Source: 'Educated women more promiscuous than men'

Kwanini umetumia picha za watu weusi tuu!!! au hii haiplai kwa mzungu?
 
He he he he, na kweli.
Ndo maana nikasema confidence ya kujaribu ni kubwa hasa tujiwa kwenye semina ngurdoto.

Afu kwenye hii list kasaulika mmoja, anyway!

Mimi naona huo utafiti uko sawa sawa kabisa. mwanamke akielimika, obvious anakuwa na exposure ya kutosha. Huko ndiko anakokutana na vidume kibao.
Mfano halisi wewe Kongosho; imagine ungekuwa huna shule hata kidogo na uelewa wa haya mambo ya internet, ungemfahamu Rejao, Asprin, EMT, Bishanga na klorokwini?
 
Last edited by a moderator:
Mimi naona huo utafiti uko sawa sawa kabisa. mwanamke akielimika, obvious anakuwa na exposure ya kutosha. Huko ndiko anakokutana na vidume kibao.
Mfano halisi wewe Kongosho; imagine ungekuwa huna shule hata kidogo na uelewa wa haya mambo ya internet, ungemfahamu Rejao, Asprin, EMT, Bishanga na klorokwini?
Mbona wote hawa ni majina ya mtu mmoja!
 
Last edited by a moderator:
Mimi naona huo utafiti uko sawa sawa kabisa. mwanamke akielimika, obvious anakuwa na exposure ya kutosha. Huko ndiko anakokutana na vidume kibao.
Mfano halisi wewe Kongosho; imagine ungekuwa huna shule hata kidogo na uelewa wa haya mambo ya internet, ungemfahamu Rejao, Asprin, EMT, Bishanga na klorokwini?
Kwa hiyo unamaanisha mtu kama Preta kuwafahamu hawa Members kunamaanisha kwamba ni rahisi sana kujirusha nao? Acha fikra potofu haya mambo yanategemeana sana na Tabia ya Mtu kuna vijitu havina exposure yeyote lakini vina cheat sana na ma-Houseboy na wauza magenge.
 
ngono haina formula...huko kwenye vyuo vya wasomi au makazini ngona imejaa na pia ukipita uswahilini kwa wale ambao hawajaenda shule na hawana kazi wanangonoana nje nje....ile kitu haitaji msomi mlevi kipofu wala kilema....
 
Back
Top Bottom