Calnde
JF-Expert Member
- Oct 7, 2008
- 1,373
- 277
Kuna habari kuwa kwa sasa wanawake wengi wanapenda kujifungua kwa operation 'kisu' kuliko natural way. Sababu ni kwamba baada ya kujifungua mambo hayarudi sawa as before! Wakuu, kuna ukweli hapa?
Fact.
Arusha, St Thomas hospital wanasifika kwa kuzalisha kwa kisu. The reason they recommend its because they make a lot of money. Im told of a doctor there who persuade pregnant women to undergo operation. Anawaambi kwanza wataendelea kuwa kama kawaida na atawakwangua mafuta yote tumboni so that they remain slim!
Fact.
Arusha, St Thomas hospital wanasifika kwa kuzalisha kwa kisu. The reason they recommend its because they make a lot of money. Im told of a doctor there who persuade pregnant women to undergo operation. Anawaambi kwanza wataendelea kuwa kama kawaida na atawakwangua mafuta yote tumboni so that they remain slim!