Wanawake wapendelea zaidi kujifungua kwa kisu than natural way?

Inasikitisha sana kuona dada zetu wanakataa asili zetu, yaani ubinadamu haupo mtu anadiliki kuomba kisu ili tu atunze maeneo yake ya `biashara`Nimeshuhudia wengi wenye masaburi makubwa ndo udai kisu kwa ghrama yoyote.Hii pengine ni kwa sababu wanaundergo unnatural way.Madaktari wetu pia wanakiuka maadili ya kazi kwa kupenda pesa

Kunahaja ya kulishughulikia swalam hili
 
Get your point . . . Kwamba wanaokimbilia kisu hawajakwepa maumivu ya uchungu

mi najua wanaogopa kuu,mbuka na mchezo mchafu wa nyuma maana unapozaa unatumia nguvu km umechezewa ile nguvu huwezi kuipata hewa huwa inatoka kwa iyo kama mkeo kazaa jiulize kwa nn?
 
Msiwe one sided kuna visu vinakuja kwa sababu ya matatizo ya kawaida ya uzazi! kama mtoto kuchoka tumboni! pressure! mtoto kukaa vibaya tumboni na sababu nyingine nyingi! iyo mtu kupenda ni another case!
 
kisu??????????...:peep:


raha ya mwanamke kukamua bwana...unamfili mtoto....n afta 2wks unakuwa mzimaaaaaaaaaaaaaaaaa but kisu dahh milele amina umivu unaliskia....mvua ikinyesha unalo....ata mikunjo mingne aiwezekan tena ohhh mshono jaman...ahh lakin ukikamua leba na ile afta mwezi ahh mbona mwake mwake kila kitu kinakuwa mmmaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa:A S 13:
 
Msiwe one sided kuna visu vinakuja kwa sababu ya matatizo ya kawaida ya uzazi! kama mtoto kuchoka tumboni! pressure! mtoto kukaa vibaya tumboni na sababu nyingine nyingi! iyo mtu kupenda ni another case!

Hata hiyo ya mtu kupenda sidhani kama ni "chronic" kiasi hicho,na wala sababu kuwa ni kutokana na "mchezo wa kurudi nyuma",siiafiki hata kidogo..

Na lawama anayotoa hengo kwa Wataalamu,naona anawaonea tu.. Kama inatokea,si kwa kupenda pesa,bali kitabibu,hata Dr Riwa akija atatuelezea...
Ni kwamba,mtoto anatoka "vema" zaidi,au... Yaani ni tofauti na purukushani ya mtoto kutoka kwa njia ya kawaida.
Simaanishi kwa natural way anatoka vibaya au kwa shida,ila naongelea chances za mtoto kuzaliwa na magonjwa ya macho kutokana na tatizo la magonjwa ya STDs ,mtoto kuchoka,purukushani zaweza zalisha ama kuwa chanzo cha mambo fulani katika makuzi ya mtoto,ama kuathiri tu ukuaji kiujumla.. Ni kubwa zaidi kwa kujifungua kawaida..
 
Kwa mtazamo wangu:
i. Wadada wengi siku hizi wanazaa wakiwa above 30yrs hence wanaogopa ku-risk delayed labour ambapo njia huchelewa kufunguka na mwisho wa siku daktari anashauri upasuliwe ili hali ulishapata uchungu wa kufa mtu. Kwahio mtu anaona ni bora apunguze hilo na labour pains ili abaki na uchungu wa kuuguza kidonda kuliko ku-face vyote
ii. Madaktari wetu (baadhi) nao wameweka pesa mbele na kuamua kujipatia kipato zaidi kwa kuzalisha kwa upasuaji badala ya kuacha mjamzito ajifungue kwa njia ya kawaida
iii. Kuna wale kwa imani potofu, wanaoamini kuwa ukizaa kwa kawaida, basi njia ya uzazi haitarudi kwenye hali ya kawaida. Si kweli na nakubaliana na Blackberry aliposema "MWACHENI MUNGU AITWE MUNGU"
 
Beetle ndo nini tena?

Beetle ndio hii:
Volkswagen-Beetle_Last_Edition_2003_800x600_wallpaper_03.jpg
 
Naona watu wanachukulia kisu kama 'STAREHE' ya aina fulani hivi linapokuja swala la kujifungua. Sure, wapo watu ambao wanaweza wakawa wanaona ni sifa kuzaa kwa njia ya operatiob ila kwa wale wanaolazimika sio kotu cha kuringia. Mtu uchungu wa uzazi anapata, kidonda kinachochukua muda kupona na kovu juu. Starehe iko wapi hapo?
 
Kuna hospital moja iko Mwanza ya binafsi, ukienda pale ni lazima ujifungue kwa kisu, kisa inalipa sana.
 
kisu??????????...:peep:


raha ya mwanamke kukamua bwana...unamfili mtoto....n afta 2wks unakuwa mzimaaaaaaaaaaaaaaaaa but kisu dahh milele amina umivu unaliskia....mvua ikinyesha unalo....ata mikunjo mingne aiwezekan tena ohhh mshono jaman...ahh lakin ukikamua leba na ile afta mwezi ahh mbona mwake mwake kila kitu kinakuwa mmmaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa:A S 13:

Naam, I like women thinking big! Huwazi tuu hapo, u go over and beyond that. . . Kumbe hii mambo inaweza kukupa limits ati
 
Kuzaa kwa kisu inakutia kilema cha maisha hautokuwa wewe daima, pia km anaekufanyia huo upasuaji sio mtu safi kiroho anaweza kukujaza spirits ambazo kwazo maisha yako na uzao wako wote ukawa hopeless...! Natural is better na huo ndio mpango wa Mungu ktk uzazi, hao wanaotafuta visu kwa sababu isiyo ya kitabibu wanayao kwa kweli! Pia kisu kinapunguza life expectance ya mwanamke mara 2 au zaid ya anaejifungua kawaida, pia kuna limitation ya kuzaa watoto mwisho 4. Kwa wale wanaohofia shamba la bibi wajhulize je ni bora liharibike kidogo bt after 30 days mech zinachezwa km kawaida au lisiharibike ila liwe idle kwa 6 mths? Jifikirie kwa miezi hyo 6 huyo uliemtunzia lisiharibike atakuwa idle anakusubiria? Je utaweza mikikimikiki km zamani? MUNGU EPUSHA UZAZI WA VISU KTK FAMILIA, UZAO, NA UKOO WANGU WOTE CUZ SIO MPANGO WAKO!
 
Kuzaa kwa kisu inakutia kilema cha maisha hautokuwa wewe daima, pia km anaekufanyia huo upasuaji sio mtu safi kiroho anaweza kukujaza spirits ambazo kwazo maisha yako na uzao wako wote ukawa hopeless...! Natural is better na huo ndio mpango wa Mungu ktk uzazi, hao wanaotafuta visu kwa sababu isiyo ya kitabibu wanayao kwa kweli! Pia kisu kinapunguza life expectance ya mwanamke mara 2 au zaid ya anaejifungua kawaida, pia kuna limitation ya kuzaa watoto mwisho 4. Kwa wale wanaohofia shamba la bibi wajhulize je ni bora liharibike kidogo bt after 30 days mech zinachezwa km kawaida au lisiharibike ila liwe idle kwa 6 mths? Jifikirie kwa miezi hyo 6 huyo uliemtunzia lisiharibike atakuwa idle anakusubiria? Je utaweza mikikimikiki km zamani? MUNGU EPUSHA UZAZI WA VISU KTK FAMILIA, UZAO, NA UKOO WANGU WOTE CUZ SIO MPANGO WAKO!

Amen, naona upo kiroho zaidi
 
Msinicheke lakini na kama hujui usibishe nasikia kuna new way imetoka hutumii kisu wala nornal unaekewa kifaa ndani ya tumbo mtoto anatoka kwa green tooth! nea blue tooth!
 
Msinicheke lakini na kama hujui usibishe nasikia kuna new way imetoka hutumii kisu wala nornal unaekewa kifaa ndani ya tumbo mtoto anatoka kwa green tooth! nea blue tooth!

Kwasababu umesema tusibishe, sibishi!
 
Back
Top Bottom