JBourne59
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 941
- 8,547
Wanawake / Wanaume ambao ukishiriki nao tendo la ndoa ‘mambo yako yanaenda vizuri zaidi’
------------------
Habari wana JF?
Najuwa kuna uzi unaofana na huu, lakini kwa heshima na taadhima nawaomba MODs wasiunganishe uzi huu huko.
Kizazi hiki kipya cha JF tungependa kupata uzoefu wao kwa mada tajwa na Wahenga wenzangu uzoefu wenu bado unahitajika sana kuleta uelewa kwa vijana wetu.
Kwamba:-
Kuna baadhi ya wanawake ‘ukilala nao’ mambo yako yataenda vizuri zaidi, yaani utapata kinachoitwa ’kismati’ na kinyume chake wapo ambao ukishiriki nao mambo yako yanaharibika, unapata kitu kinachoitwa ‘nuksi’.
Vivyohivyo kwa wanaume na inasemekana, kwa wanaume imeenda mbali zaidi kwamba ‘wa hivyo’ hata ukipeana naye mkono tu kwa salamu ‘umekwisha’ hususani ‘wanaoingiliwa’ basi siku yako inakuwa mbaya na mambo ‘hayaendi’
Inasemekana wanawake / wanaume hao kuna majina wamepewa lakini hutofautiana kila mkoa ama kabila, na inasemekana pia kuna baadhi ya dalili / sifa ukiwanazo basi unaweza kuwa mmoja wa wenye nuksi ama ngekewa.
Hebu tupeane uzoefu kwa mjadala wenye staha.
(Picha hapo chini hazihusiani na maelezo hapo juu, picha ni kwa hisani ya google)
Jbourne59
View attachment 2014136View attachment 2014137
------------------
Habari wana JF?
Najuwa kuna uzi unaofana na huu, lakini kwa heshima na taadhima nawaomba MODs wasiunganishe uzi huu huko.
Kizazi hiki kipya cha JF tungependa kupata uzoefu wao kwa mada tajwa na Wahenga wenzangu uzoefu wenu bado unahitajika sana kuleta uelewa kwa vijana wetu.
Kwamba:-
Kuna baadhi ya wanawake ‘ukilala nao’ mambo yako yataenda vizuri zaidi, yaani utapata kinachoitwa ’kismati’ na kinyume chake wapo ambao ukishiriki nao mambo yako yanaharibika, unapata kitu kinachoitwa ‘nuksi’.
Vivyohivyo kwa wanaume na inasemekana, kwa wanaume imeenda mbali zaidi kwamba ‘wa hivyo’ hata ukipeana naye mkono tu kwa salamu ‘umekwisha’ hususani ‘wanaoingiliwa’ basi siku yako inakuwa mbaya na mambo ‘hayaendi’
Inasemekana wanawake / wanaume hao kuna majina wamepewa lakini hutofautiana kila mkoa ama kabila, na inasemekana pia kuna baadhi ya dalili / sifa ukiwanazo basi unaweza kuwa mmoja wa wenye nuksi ama ngekewa.
Hebu tupeane uzoefu kwa mjadala wenye staha.
(Picha hapo chini hazihusiani na maelezo hapo juu, picha ni kwa hisani ya google)
Jbourne59
View attachment 2014136View attachment 2014137