Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 34,417
- 80,122
- Thread starter
-
- #61
BINAFSI NAONA MWANAUME KUPELEKESHWA NA MWANAMKE KIBWEGE BWEGE, LABDA UKOSE TU PESA. LAKINI KAMA UNA PESA,SIO RAHISI KWASABABU WANAWAKE WAZURI WAPO KIBAO NA WOTE WANAHITAJI WANAUME WENYE PESA.
ILA PIA USHIRIKINA UPO, UNAWEZA KUMUONA MWANAUME PAMOJA NA PESA ZAKE ILA KAWA BWEGE KUMBE NDIO MKEWE KASHAMTENGENEZA HIVYO.
Kila mtu asome hapa, hasa para ya mwishoWanawake daima wanakuhangaisha wakisha jua udhaifu juu yake.....na udhaifu unaonekana pale mwanzo wa mahusiano kwenye Yale unayoita mahaba......
Mwanamke anatakiwa uishi naye huku akijua mipaka yake na akivuka mipaka ni kumuonesha kuwa wewe ni mwanaume kamili...Kwa kufanya maamuzi magumu..........
Ukiwa na uwezo wa kustahimili maumivu ya kuachana na mwanamke basi wewe hakuna mwanamke Duniani atakufanya bwege......
Ishi na mwanamke kwa wema lakini mfanye ajue kuwa unaweza kuacha naye muda wowote akitoka nje ya mstari......
Sio fact
Ukiwa na kibunda automatic hauwi bwege.
Hakuna cha kazi ipo, badilika.Kazi ipo
Umefufukia kutoka wapi tena?Mwanaume bwege ndie anaesema mwanamke anamtesa mwanaume bwege.
Maumivu ya mapenzi hayana jinsia
Umeona namna neno 'nakupa maua yako mkuu' linavyoandikwa in a positive way? Hapo ubaya upo wapi mkuu? Je, mtoa mada uanaume wake umeondoka? Let's learn to take things in positivity. GlennNakupa mauwa yako mzeee una bayanakukubali mpka kesho
Unaweza ukawa unakaribia kuwa chokoHapa kweri inadhirisha bongo tuna kauvivu kakusoma Uzi mrefu mwamba naona unapita changamoto yakuteswa na mwanamke mpka unadondosha yalio moyoni
Kwa nini ufungwe akili zako?Mkumbuke kuna wengine wamefungwa akili zao na hawajitambui hivyo yeye chochote atachoambiwa afanye anafanya tofauti na akili zake
Yako mengi,ukitaka umuweze mwanamke kuwa mkoloni Fulani kamwe hawezi kukuacha.Niliwahi kumuona kanali bwege anapelekeshwa na kutii amri za mkewe
Ndio mabwege wenyewe Kila kitu Hadi wahonge hao ndio Huwa wanaobabaishwa na wanawakeUkiwa Huna hela lazima uchekechwe tuu , Ila kama hela ipo wanawake utawaogelea Sana , huwezi kumzingua pisi kali kama huna hela ni ngumu Sana mana kuna wahuni wenye shekeli watakuwa wanampa kiburi na atakuwa anawanyenyenyekea kinyama Ila wewe unapelekwa mwendo wa ngiri mkia juu๐๐๐
Uh nafunga tu kwani unakua unajiaa sasa ๐๐๐kama zombieKwa nini ufungwe akili zako?
Bandiko murua..
Niliwahi kumuona kanali bwege anapelekeshwa na kutii amri za mkewe
Baeleze baelewe
Mwanaume unajishusha kwa mkeo/dem wako?
Mwnaume hakosei vyo vyote vile iwavyo!