Wanawake Wanapenda Madeni

Vicoba,upatu na kausha damu ni chanzo cha ongezeko la wadada wanaojiuza Telegram,

Kwa kumbukumbu zangu za kununua madada wa Telegram wengi wao huwa nawasikia wakipiga simu au kuwasiliana na wenzao kuhusu michezo,vicoba. Unakuta mtu ana michezo kumi 10000 kila siku kila mmoja ni lazima ajiuze tu
 
unakopwa mkopo mpya kulipia mkopo wa zamani,,,inaitwa bandika bandua hakuna kupoa.....mamaeh🤣
 
vidada vya chuo ivyo. vinacheza vikoba vinapeana elfu 10 kwa siku na havina shughuli yyote..apo lazma uchy uuzwe
 
unakopwa mkopo mpya kulipia mkopo wa zamani,,,inaitwa bandika bandua hakuna kupoa.....mamaeh🤣
Daaaa Noma sana,
1.kopa kama Unanjaa.
2.kopa kama unatatizo la kiafya Ili Ufanye matibabu.
3.Kopa Ili kuendeshea Biashara AMBAYO inamzunguko mzuri na inaitaji kuongeza msingi.
 
Serikali yenyewe inadaiwa matilion huko itakuwa elf 50 tu jamani? Sasa jamani vibaya hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…