Jestina
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,831
- 1,707
Mimi nagonga sana wake za watu ndo maana najua ninachoongea. Yaani akija kwangu atamkandia mumewe kishenzi,, oooh jamaa leo nikirudi atakuwa kanuna huyo!! mara oohh jamaa najua leo atataka kupekua simu yangu na makandokando mengi tu
wanakuzuzua tu hao ujione wewe kijogoo na mume zao hawafai,usikute wakirudi nyumbani heshima juu na malove na macare lol