wanawake wanaosema NO, wamekwenda wapi siku hizi?

mtoa mada PAMADAKU PAKO...(masaburi yako)
cz umetoa mada ya kudhalilisha..km umewapata ao panya wako pasi[po kutoa jasho bas ni ao ao haina haja ya kusema wanawake wote


na ukome kufananisha wanawake wenye maadili yao na Hao wauzaji.

kua na adabu
Haahahaaaaaaa nimeipenda hiii mamy na najua imekugusa mpaka kwa mtima, thats what i wanted
 
Usibanie mabadiliko, naomba nikuongezee yafuatayo:

- wanaume kutunzwa na wanawake
- wanaume kuomba omba vi pesa kwa wanawake
- wanaume kusahau wajibu wao na kubweteka na kudhani kaolewa wakati yeye ndio mwanaume ndani ya nyumba
yote haya ni mabadiliko kama hayo ya kusema NO yalivyofutika. hii ni kwa sababu ya utandawazi uliopo. Zamani sisi tulikua kunaambiwa sex ni kitu kibaya sana na huwezi kufanya mpaka uingie kwenye ndoa. Siku hizi tunaambiwa fanya ngono salama, tumia condom. What do you expect? Unadhani utaambiwa NO? wakati hakuna mtu anayekuambia sex ni mbaya ila kumbuka condom...

Nasikia zamani (maana sikuwepo) kazi ya kutongoza na mpaka mwanamke kukukubalia ilikuwa ngumu kuliko kuomba mkopo benki siku hizi. Sina uhakika sana na sababu za wakati huo lakini inaonekana wanawake walikuwa wagumu sana kusema ndio kwa mwanaume aliyekuwa anamtokea.

Sasa siku hizi, kuna watu wanasema "For women saying no is next to impossible nowadays" Siku hizi ni kawaida kabisa kwa wanawake kuwatongoza wanaume, ni kawaida kabisa siku hizi kwa watu kujikuta wamefanya mapenzi bila kutongozana na mengine mengi.

Sasa maswali yangu ni kwamba,
Imekuwaje kwa NO ya wanawake ile ya zamani?
Kumetokea nini kwa kale ka utaratibu ka wanaume kutoka jasho kwa kumtongoza mwanamke kiasi cha kufikia hata mwaka kabla hajampata.
.........................................................
lets talk.....
 
Usibanie mabadiliko, naomba nikuongezee yafuatayo:

- wanaume kutunzwa na wanawake
- wanaume kuomba omba vi pesa kwa wanawake
- wanaume kusahau wajibu wao na kubweteka na kudhani kaolewa wakati yeye ndio mwanaume ndani ya nyumba
yote haya ni mabadiliko kama hayo ya kusema NO yalivyofutika. hii ni kwa sababu ya utandawazi uliopo. Zamani sisi tulikua kunaambiwa sex ni kitu kibaya sana na huwezi kufanya mpaka uingie kwenye ndoa. Siku hizi tunaambiwa fanya ngono salama, tumia condom. What do you expect? Unadhani utaambiwa NO? wakati hakuna mtu anayekuambia sex ni mbaya ila kumbuka condom...
Yameingia kwenye HANSADI mama
 
mtoa mada PAMADAKU PAKO...(masaburi yako)
cz umetoa mada ya kudhalilisha..km umewapata ao panya wako pasi[po kutoa jasho bas ni ao ao haina haja ya kusema wanawake wote


na ukome kufananisha wanawake wenye maadili yao na Hao wauzaji.

kua na adabu.kokroach.

Thenk yuu!!
 
Soma kitabu cha miradi bubu ya wazalendo na joka la MDIMU NDO UTAJUA GESTI ZILIKUWEPO
 
wanawake kazi tunayo maana tunakusanywa kama nyanya aliyemo na asiyemo wote wanawekwa kapu moja
 
kila jambo na wakati wake sasa niwakati wa utanda wazi bana
 
sasa hapa kila mdada anadai hatongozeki, inamaana hao wanaopata nafasi kwenu wanapataje? Kuweni wakweli jamani mana hata mazingira tu yanapingana nanyi.
 
Mkuu, unataka waseme "NO" halafu sisi tusiopenda kupoteza muda "kulialia" kwa wanawake tukapatie wapi? Hiyo ndo nzuri, wameturahisishia mambo. Ukifika tu unamwambia, "Ee sister, ebu fanya 'uzazi' huo basi". Mara moja anaelewa unachomaanisha na shughuli inaanza.
 
Try me try me, we cantalisia ndo unaonekana walewale. Kwani kutongozwa ndo uwe mkali? Mkali simba na kazaa itakuwa wewe! Its just a matter of timing na chance baaaaaass, tena ukipigwa vi-savannah vitano haaaaa niangusage! Nakutania bana ila NO sijaambiwa siku nyingi mwenzenu.
 
wanawake kazi tunayo maana tunakusanywa kama nyanya aliyemo na asiyemo wote wanawekwa kapu moja

Mkisemwa basi inawauuuuuuma nyie kuweni kana sisi wanaume, sie tunatukanwa na kuitwa kila majina; Mbwa, kenge, takataka, washenzi na mengineyo ila wala hatukimbilii kujifanya sisi ni kundi la malaika. Kama unadhani we haumo katika wanaosemwa si unakaa kimya tu maana hapa wapo wenye hizo tabia.wacha wasemwe ila ukikurupuka namna hii lazima imekutaaaaaaaaachi. Over and out!
 
Back
Top Bottom