Tena na wewe ulitakiwa uwemo kwenye list,Sijuwi nimekusahau vipi gwiji kama wewe
Even u kunamahali nilikuona mdomo wako umekatika breki pia.
Kiongozi ushawapitia wote hao??
wewe mwenyewe
Achana nae ana hamu huyo bila kumshikia dildo hawezi kukuelewajaribu kuelewa maana ya jukwaa ambalo linampa mtu uhuru wakuchangia kilichopo moyoni mwake kulingana na mtazamo wake ilimradi tu asitukane nakumdhalilisha mtu,
kuwaita makahaba kama umewashuhudia wakijiuza sawa! but kama nikwasababu tu ya maneno yao hapa hujatumia busara kabisaaa ' KAHABA' ni neno zito sana kumuita mtu endapo hafanyi ukahaba
Mkuu kwani kumuita mtu malaya au kahaba lazima uwe umempitia?
Mfano, kwa kua hujalala na wale wadada wanaojiuza pale kinondoni huwezi kuwaita malaya au makahaba?