Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,195
Mi naishi na watu wenye magari, sista zangu pia ila leo ndo kwa mara ya kwanza nasikia hii kesiEvelyn Salt kaamua leo kupigilia misumari ya moto
hao wake zenu ndo malimbukeni
Mi naishi na watu wenye magari, sista zangu pia ila leo ndo kwa mara ya kwanza nasikia hii kesiEvelyn Salt kaamua leo kupigilia misumari ya moto
Ni ulimbukeni wa magari tu hamna lolote! Miye mbona najituliza zangu nyumbani na mume wangu tena wikends kwa raha zetu hao wanayao!! Mweeeeeeh! Ha ha ha!
inabid kunyang,anywa hayo magar kwa lazima
wewe umeolewa lini?acheni mambo ya maigizo
kwani we ni mkaguzi wa ndoa humu? Eboh!!!
Ulivónidanganya hujaolewa kumbe ulinifanya mchepuko wako wa lami....
Mimi simo kabisaaa!Mi naishi na watu wenye magari, sista zangu pia ila leo ndo kwa mara ya kwanza nasikia hii kesi
hao wake zenu ndo malimbukeni
Afadhali wewe mkuumi huwa najitahidi kumaliza wese lote wikends,akitaka kutoka tank empty,af sina hela.basi tunashinda home wote
Ok Mgeni umesomekaili baba uheshimike nyumban lazima uwe na ubabe kidogo vonginevyo utapigwa kidole halafu unachekelea,ukitaka kujua baba kakamilika ni pale anapoingia seblen kama watoto walikuwa wanacheza alingo na azonto fasta wanapotelea kwenye bed room zao bt ukifika watoto hawana tyme na ww ujue hujakamilika.piga marufuku wife kutokatoka wokend bila reason za msingi ikipidi tumia ubabe nan kakuambia punda anaenda bila fimbo? to use diplomatic for women is epual to drink pure cold watter sure i told you
Mara nyingi siyo jasho lake paseeUnawezaje kumnyakanya mtu aliyenunua kwa jasho lake?
Wewe umo na ndo mhusika mkuu...Mimi simo kabisaaa!
mwanamke akivaa kimni hlf nikimuona anaendesha gari , i find it very sexy