Wanawake wanaoendesha magari

Wanawake wanaoendesha magari

Kuna ukweli hapa. Ngoja nipige kilaji ntarudi. Karibuni sana agiza utakacho.
 
Kama mke atatoka tu na funguo mkononi bila mume kujua safari ya mkewe na mume huyo akaridhika kubaki anacheza na watoto nyumbani huku akipeleka malalamiko kwa rafiki/jirani basi mwenye tatizo hapo ni mume!!!
huwa anaaga, lakini anatoa visingizio kibao vya kutoka, mume wake hajasema kwamba anamshuku na mambo mabaya huko anakokwenda bali ni tabia yake yakutokupenda kukaa home hasa week end, hii ni story tu ya kawaida wanaume wanapozungumza kwani haiusiani na mambo yao ya ndani sana...hivyo mume hana matatizo

 
Sio maneno mazito SOCIOLOGISTTZ
Ulimbuken wa mwanamke na kuwa na tabia za kuzurura kama kuku wa kienyej mafoleni kbao dar

Ana jionyesha huyo kwa marafiki zake kwa maana ndo Mara ya kwanza kuwa na gari/ au ndo mwanamke mzururaji bila sababu maalum

Na atambue kuzurura huko anabomoa nyumba yake kama mama wa familia hana mda wa kukaa na mumewe
 
Last edited by a moderator:
Ameshamueleza mkewe lkn tabia hiyo inaendelea tu...sawa Ennie


Watu tunatofautiana mkuu,mwanaume akemee kitu na kiendelee kufanyika tu!!
Kama angenisamehe sana basi ni kuchukua hizo funguo,na uso wake ungeniambia tu nisiulize zilikohamishiwa!!!
Mwanaume hajaamua kukomesha hiyo tabia mkuu.
 
Ameshamueleza mkewe lkn tabia hiyo inaendelea tu...sawa Ennie


Best huu ni udhaifu
I Hate this kind of man
It means hana say kwa mkewe

Je anatambua kama baba wa familia yy ndo mwenye decision ya mwisho?
ukiona mwanaume hana kauli na akitoa maamuz/ au maagizo hayafuatwi jua kuna tatizo kwenye hiyo ndoa

Mwanamke ni ubavu / msaidizi wa baba atambue yy baba ndo kiongozi
 
Watu tunatofautiana mkuu,mwanaume akemee kitu na kiendelee kufanyika tu!!
Kama angenisamehe sana basi ni kuchukua hizo funguo,na uso wake ungeniambia tu nisiulize zilikohamishiwa!!!
Mwanaume hajaamua kukomesha hiyo tabia mkuu.
siunajua tena mambo gender? baadhi ya wanaume wanawadekeza wake zao, lkn kama huyu mwanaume angekuwa ametokea ule mkoa wa jirani walai pangechimbika!

 
Labda mahaba niue mnawafultenkisha, mafuta nijaze kwa senti za ngama n'kahereke na safari zisizo na ratiba?!
 
Sio maneno mazito SOCIOLOGISTTZ
Ulimbuken wa mwanamke na kuwa na tabia za kuzurura kama kuku wa kienyej mafoleni kbao dar

Ana jionyesha huyo kwa marafiki zake kwa maana ndo Mara ya kwanza kuwa na gari/ au ndo mwanamke mzururaji bila sababu maalum

Na atambue kuzurura huko anabomoa nyumba yake kama mama wa familia hana mda wa kukaa na mumewe
Kweli lakini, but Ni vigumu kujua funguo kama hujui aina ya kofuli.....
 
Best huu ni udhaifu
I Hate this kind of man
It means hana say kwa mkewe

Je anatambua kama baba wa familia yy ndo mwenye decision ya mwisho?
ukiona mwanaume hana kauli na akitoa maamuz/ au maagizo hayafuatwi jua kuna tatizo kwenye hiyo ndoa

Mwanamke ni ubavu / msaidizi wa baba atambue yy baba ndo kiongozi
Haya Ichana, mimi siongezi kitu hapo nayachukua kama yalivyo, sasa sijui nitafute siku nikampige kinywaji halafu nimpe ushauri na mawaidha niliyoyapata kutoka huku?

 
siunajua tena mambo gender? baadhi ya wanaume wanawadekeza wake zao, lkn kama huyu mwanaume angekuwa ametokea ule mkoa wa jirani walai pangechimbika!

Sasa tunaongea lugha moja.
Kwa mwanaume wa hivi na akapata mke mzururaji basi gari si lazima,atazurura hata kwa daladala,bajaji au boda boda.
 
Best huu ni udhaifu
I Hate this kind of man
It means hana say kwa mkewe

Je anatambua kama baba wa familia yy ndo mwenye decision ya mwisho?
ukiona mwanaume hana kauli na akitoa maamuz/ au maagizo hayafuatwi jua kuna tatizo kwenye hiyo ndoa

Mwanamke ni ubavu / msaidizi wa baba atambue yy baba ndo kiongozi

Tatizo sio gari wala mke kujua kuendesha,huyo mume ni dhaifu na mke ameshamjua!!!
Mwanaume anashindwa kukemea tabia zinazomkera ndani kwake anaenda kulalama kwa marafiki!!!
Shame!!
 
Tatizo sio gari wala mke kujua kuendesha,huyo mume ni dhaifu na mke ameshamjua!!!
Mwanaume anashindwa kukemea tabia zinazomkera ndani kwake anaenda kulalama kwa marafiki!!!
Shame!![/QUOTE]Uhuru huo Uliopitiliza...lkn ndiyo hivyo na ndiko tunakoelekea, wanawake nao wanataka haki sawa what do you expect?

 
chezeyaaa kutembelea makalio wewe...

halafu usiombe sasa ufungue buti la gari la mdada, utakutana na mini supamaketi huko hata muhuriwa ikulu utapata...
 
inabid kunyang,anywa hayo magar kwa lazima

Teheeee mkuu kama mke ndo mwenye gari je?! Tena usikute ndo mume anaazima kwake akaoshee mtaani.... utaanzia wapi kumnyang'anya nawe hata sh kumi hujatoa?!
 
Tatizo sio gari wala mke kujua kuendesha,huyo mume ni dhaifu na mke ameshamjua!!!
Mwanaume anashindwa kukemea tabia zinazomkera ndani kwake anaenda kulalama kwa marafiki!!!
Shame!!

Nachukia sana wanaume wa kiivi haaaaaa majanga
Huyu mwanamke ameshamjua na atamsumbua hadi akome

Mwanaume anakuwa baba/ kiongozi yy ndo kila kitu na kauli yake ndiyo ya mwisho kweny maamuz kinachofuata ni utekelezaji tu no matter u like it or not
Sasa huyu mwenzetu anakituliza tuuu mke anaamua kufanya misele yake kama Gari LA polis la doria

Mungu niapushe na wanaume wasiokuwa na maamuzi
 
Back
Top Bottom