Wanawake wanaoendesha magari

Wanawake wanaoendesha magari

chezeyaaa kutembelea makalio wewe...

halafu usiombe sasa ufungue buti la gari la mdada, utakutana na mini supamaketi huko hata muhuriwa ikulu utapata...
hili la kufungua buti kwa gari la wanawake nakuunga mkono, lkn hili la kutembelea ma-sa-bu=ri mimi simo
 
Nachukia sana wanaume wa kiivi haaaaaa majanga
Huyu mwanamke ameshamjua na atamsumbua hadi akome

Mwanaume anakuwa baba/ kiongozi yy ndo kila kitu na kauli yake ndiyo ya mwisho kweny maamuz kinachofuata ni utekelezaji tu no matter u like it or not
Sasa huyu mwenzetu anakituliza tuuu mke anaamua kufanya misele yake kama Gari LA polis la doria

Mungu niapushe na wanaume wasiokuwa na maamuzi
Ichana ...Ichana Angalia usije ukapata mwanaume mbabe halafu ukayafuta haya maombi yako

 
Ni ulimbukeni wa magari tu hamna lolote! Miye mbona najituliza zangu nyumbani na mume wangu tena wikends kwa raha zetu hao wanayao!! Mweeeeeeh! Ha ha ha!
haa haa wewe utakuwa unaweka wese la mawazo.
 
Ichana ...Ichana Angalia usije ukapata mwanaume mbabe halafu ukayafuta haya maombi yako


Unajua tofauti ya ubabe na kuwa na maamuzi?
Heshima ya baba sio ubabe wala udikteta mtu wangu

Watu wanatumia diplomatic way na wanaeleweka na wanajitambua na kuwa na maamuzi as father of family na kuyasimamia
 
Teheeee mkuu kama mke ndo mwenye gari je?! Tena usikute ndo mume anaazima kwake akaoshee mtaani.... utaanzia wapi kumnyang'anya nawe hata sh kumi hujatoa?!
Tatizo siyo umiliki wa gari bali ni mtoko wa hovyohovyo, gari ni la familia regardless liwe limenunuliwa na mwanaume au mwanamke
 
hahahahaha eeeeh kazi....hilo gari itakuwa kajua kuendesha hivi karibuni kwahiyo mchecheto ule wa mwanzo..akilizoea ataona kawaida tu

Hata na mimi naona hao ni malimbukeni tu wa magari, wakichoka watakaa nyumbani.
 
Unajua tofauti ya ubabe na kuwa na maamuzi?
Heshima ya baba sio ubabe wala udikteta mtu wangu

Watu wanatumia diplomatic way na wanaeleweka na wanajitambua na kuwa na maamuzi as father of family na kuyasimamia
Mfano Ichana, kwenye case hii huyu mume ametumia diplomasia ya hali ya juu sana, ikivuka hapo walai ni ubabe tu.

 
Mfano Ichana, kwenye case hii huyu mume ametumia diplomasia ya hali ya juu sana, ikivuka hapo walai ni ubabe tu.


Sikiliza hujui akili ya mwanamke wewe...
It too late to use diplomasia
Tangia mwanzo mwanaume anaonekana ni dhaifu haiwezekani kama ni kiongozi wa familia utoe maamuz yasifuatwe
Ina maana

Mke hamweshimu mumewe

Hana kaauli

Gari la mkewe

Ndoa yao ipo mkao wa chura

Baba hasimamii kauli na maagizo anayotoa

Na kama ni ulimbukeni wa gar jipya isingechukua mda mrefu bila kuchoka hiyo mitoko isiyokuwa na maana

Mbwa mzee hafundishwi mbinu mpya jamaa anakumbuka Leo kutumia diplomasia wakati mke kashajua jamaa hana kauli na anachosema sio lazima kukifuata
 
Sikiliza hujui akili ya mwanamke wewe...
It too late to use diplomasia
Tangia mwanzo mwanaume anaonekana ni dhaifu haiwezekani kama ni kiongozi wa familia utoe maamuz yasifuatwe
Ina maana

Mke hamweshimu mumewe

Hana kaauli

Gari la mkewe

Ndoa yao ipo mkao wa chura

Baba hasimamii kauli na maagizo anayotoa

Na kama ni ulimbukeni wa gar jipya isingechukua mda mrefu bila kuchoka hiyo mitoko isiyokuwa na maana

Mbwa mzee hafundishwi mbinu mpya jamaa anakumbuka Leo kutumia diplomasia wakati mke kashajua jamaa hana kauli na anachosema sio lazima kukifuata
unafaa kuwa wakili kusimamia hii kesi mtu wangu, duh! nimekukubali

 
Tatizo siyo umiliki wa gari bali ni mtoko wa hovyohovyo, gari ni la familia regardless liwe limenunuliwa na mwanaume au mwanamke
Mkuu hoja yako nimeiekewa kuwa ni mtoko wa hovyo hovyo, ila hapo ndugu yetu aliposema "mwanamke anyang'anywe gari" ndo issue yangu ilipo. Inakuwaje mtu akunyang'anye gari isiyo yake?
Mi hapo kwenye gari ni ya "familia" regardless imenunuliwa na nani utansamehe sana sikubaliani. Naweza kukupa utumie lakini na ufikie kuninyang'anya tena na senti tano hukutoa aaaah maskhara hayo! Anyway tupo tofauti...!
 
Akirudi nyumbani anyonye mafuta yote kwenye gari
 
Kuna jamaa alikuwa anafurahia sana zile mvua zilizoisha wiki iliyopita hapa DAR, maana anasema alifaudu sana wapenda LIFTI hahahahahahaha
 
Mwache azurure akishalizoea atatulia,ni sawa na mtu akipata simu mara ya kwanza anataka kumpigia kila mtu.
 
Kama ndo kwanza ameanza kuendesha bd ana furaha nayo atazoea nakuona kawaida tu atapunguza safar ila kama ni mzoefu bas mpige mkwara wakumnyanganya
 
Back
Top Bottom