tueur de lion
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 902
- 779
Nakumbuka cku moja kuna Bwana namfahan ndoa yake ilikuwa inataka kupinduka,yeye na mkewe wakaitwa mahali kwaajili ya kushauriwa.Kila m2 alipewa nafas ya kuzungumza lkn ilipofika zamu ya mwanamke alimsema mumewe mbele ya wazaz wa pande zote na ndugu wengine kwa maneno haya huku akilia "Ww unajiita mwanaune lakn huna uwezo wa kunit*mb* nikaridhika,k*ma la m*ma yako ms*ng* Ww" watu wote iliwabidi waondoke mmoja mmoja bila kuaga.Kilichonishangaza ni kuwa mbona wameishi kwa muda mref mpaka wamezaa watoto wawili na kuanzisha mirad mbalimbali!!! Women are so geneous