Wanawake wanaishi maisha marefu kwenye ndoa

Wanawake wanaishi maisha marefu kwenye ndoa

uvimbe

Member
Joined
Feb 14, 2022
Posts
83
Reaction score
82
Za asubuhi, Jumapili njema.

Kuna kasumba ya wanaume wengi wa bongo kutangulia kufa na kuwaacha wake zao wakitanua. Najua kuna kitu unawaza ila nikuhakikishie tu kuwa hicho unachokiwaza ndio ukweli wa kasumba hii. Ila unajaribu kupingana na moyo wako.

Usijali, upo sahihi. Vifo vingi vya wanaume ni vya magumashi. Aidha huwekewa madawa na wake zao ya limbwata ambayo huwadhoofisha, au wanawake wengine huenda mbali zaidi kwa kuwapa sumu inayoua taratibu sana mpaka miaka hata mitatu au minne(hii ni siri kubwa mno, wanawake wengi hawataki wanaume wajue, nina ushuhuda na hili).

Hivyo basi, kuanzia leo visababu vyote vya kijinga kijinga kuwa Mungu anawalaani wanaume na ndio maana wanakufa mapema naomba vipuuzwe tafadhali. Walio wengi wanauawa(nasema kwa kujiamini).
 
Juzi huku kwetu kuna jamaa kafa ghafla,asubuh watu wakaanza kusema mke kamuua,nilkuwa sjajua mambo ya ndan zaid,baadae kupata story ni kuwa hao wana ndoa wanamgogoro ni miaka 3 sasa

Mke kazaa na jamaa mwingine,ana kitoto kichanga sasa,afu ajabu ni kuwa jamaa alkuwa mbabe sana anapga watu lakin bado hyo haikufanya mwanamke amuogope,wanawake ni jasiri
 
Juzi huku kwetu kuna jamaa kafa ghafla,asubuh watu wakaanza kusema mke kamuua,nilkuwa sjajua mambo ya ndan zaid,baadae kupata story ni kuwa hao wana ndoa wanamgogoro ni miaka 3 sasa

Mke kazaa na jamaa mwingine,ana kitoto kichanga sasa,afu ajabu ni kuwa jamaa alkuwa mbabe sana anapga watu lakin bado hyo haikufanya mwanamke amuogope,wanawake ni jasiri
Ujasiri wa kipuuzi tu
 
Juzi huku kwetu kuna jamaa kafa ghafla,asubuh watu wakaanza kusema mke kamuua,nilkuwa sjajua mambo ya ndan zaid,baadae kupata story ni kuwa hao wana ndoa wanamgogoro ni miaka 3 sasa

Mke kazaa na jamaa mwingine,ana kitoto kichanga sasa,afu ajabu ni kuwa jamaa alkuwa mbabe sana anapga watu lakin bado hyo haikufanya mwanamke amuogope,wanawake ni jasiri
Kipi kilimuua huyo jamaa? Na nani alikuambia ukipiga watu utaogopwa? Ni sawa na Chikumbalanga awe bilionea nani atamuogopa? Huyo hakuwa mbabe ila alikuwa anajifanya mbabe.
 
Acha kuwaza sumu au ushirikina katika masuala ya maisha na uhai hasa kwa wanaume...

Hili swali nilikuwa najiuliza miaka kama 5 hivi baada ya kutembelea kanda yetu ile ya wapenda pesa ... Kanda ya Kaskazini, nikagundua wanao ishi katika makasri mengi (au nyumba) ni akina mama/ wazee / wabibi huku waume zao wakiwa wametangulia mbele za haki....

Yafuatayo ni niliyogundua

1. Wanaume tumekuwa na tabia ya kuvumilia na kuweka vitu vinavyotuumiza KW muda mrefu hivyo kupelekea kuangukia kwenye matatizo au misongo ya mawazo ambayo inapelekea kupata changamoto katika mifumo mbali mbali ya miili yetu....

2. Majukumu tuliyo nayo, Mindset ya Africa inatuaminisha kuwa mwanamke hatakiwi kufanya kazi ngumu bali yeye anatakiwa akae ale, alee na vitu vingine vidogo vidogo... Kutokana na Hali hiyo inapelekea wanaume wengi kubeba mizigo mikubwa ya majukumu ya kifamilia baadhi ya majukumu hayo yanapelekea wanaume kupata maumivu (ajali/hitilafu mbali mbali) kutokana na majukumu hayo

3. Pombe tatizo kubwa lisiloepukika hili ambalo huathiri organ mbali mbali za miili

4. Sigara/tumbaku ambayo ukifuatilia utagundua wazee wetu au sisi wanaume tunapata matatizo hasa katika mifumo ya hewa (Cancer) na mifumo mingine

5. Jamii kuto tupa kipaumbele, tizama watoto wanapokuwa wakubwa... Mara nyingi humuangalia zaidi Mama kuliko Baba hivyo kupelekea wanaume kuangukia katika sonona isiyoisha na hivyo kupelekea vifo vya ghafla

Vingine nitakuja kuongezea....
 
Acha kuwaza sumu au ushirikina katika masuala ya maisha na uhai hasa kwa wanaume...

Hili swali nilikuwa najiuliza miaka kama 5 hivi baada ya kutembelea kanda yetu ile ya wapenda pesa ... Kanda ya Kaskazini, nikagundua wanao ishi

Vingine nitakuja kuongezea....
Vizuri ila ni mtazamo wako.
 
Hiyo 'sumu' mnayosemaga ya kuua taratibu huwa ni ipi haswa? Inaonekana kuwa rahisi sana kupatikana kwa wake zetu.

Maisha ya wanaume ni ya hatari nyingi, kuanzia shughuli za kila siku na hata mitindo ya starehe na ulevi…. kwanini msiamini kuwa hiyo ndiyo sumu inayotumaliza taratibu?

Kwa kutumia mifano hiyo ya zamani ambapo wanawake walishinda nyumbani na kazi zilizo salama, tofauti na sasa ambapo wanawake pia wanahangaika kutafuta.

Labda huko mbeleni wanawake watawahi kufa kwa kuwa wanafanya kazi sawa na pengine zaidi ya wanaume.
 
Wanaume tuna mambo mengi sana ya kupambana nayo...
 
Hakuna lolote ni stress zinawaua.Mmejibebesha mizigo kibao mke,,,wake na michepuko
Stress mnaleta wake zetu nyumbani,ndo mnatubebesha mizigo ya kutuzidi michepuko wala hainaga mambo mengi, ushasikia mchepuko anaomba kusomeshewa mdogo ake kaka , dada yake ?
Ukishaoa mke ndo anakugeuza ndondocha lake kila kitu ni wewe mwishowe stree zinaanza kukuamdama unaaga dunia !!!
 
Kipi kilimuua huyo jamaa? Na nani alikuambia ukipiga watu utaogopwa? Ni sawa na Chikumbalanga awe bilionea nani atamuogopa? Huyo hakuwa mbabe ila alikuwa anajifanya mbabe.
Mpaka leo haijulikan,alkuwa mtu wa tungi,

Kwa mjibu wa mkewe:-alirud jion akasalimiana na watoto akaingia kulala aligoma kula,usiku wa manane akaomba kula akaishia kunywa mchuzi,akawa anatoka jasho jingi baadae akafariki,walikuwa wametengana vyumba na mkewe
 
Mpaka leo haijulikan,alkuwa mtu wa tungi,

Kwa mjibu wa mkewe:-alirud jion akasalimiana na watoto akaingia kulala aligoma kula,usiku wa manane akaomba kula akaishia kunywa mchuzi,akawa anatoka jasho jingi baadae akafariki,walikuwa wametengana vyumba na mkewe
Ohooo alirogwa inaonekana
 
Back
Top Bottom