Wanawake wanaipenda hii?

yahoo

JF-Expert Member
Sep 9, 2011
3,527
1,405
Limeibuka wimbi la ndoa kufungwa huku wanawake wakiwa na mimba, je wanawake wanpenda ku do kabla ya ndoa au wanafata mkumbo wa wanaume.kama wanapenda why.
 
ki historia gauni jeupe la bibi harusi
lilikuwa linavaliwa kwa bi harusi 'bikira tu'
sasa go figure....
wengine wanavaa na kitambi kimeshatoka nje....lol
 
Moja ya dhumuni kuu la ndoa ni kupata watoto kwa hiyo si vibaya kuanza kuwatafuta mapema!Na wengine huwa wanataka ku prove kama mayai yanarutuba.
 
Hatupendi ila ni mazingira tu,ni njia ya kuwa more secure baba nanilii atanioa coz wengine hawaeleweki jamani,

Ndo mwanzo wa problem bin matatizo; sasa kwa nini uoelwe na usiyemwelewa! Tutakusamehe akichange ghafla na hukujua; lakini hii ya wewe kujua fika kwamba jamaa yako utulivu ni 0; thenn unamimbika kisha unaolewa aaaaaaaah!
 
kwanza kabisa mwanamke ndio ana final say kama mimba inapatikana au lah! kama demu hataki mimba bwana muzee utakuwa unatwanga maji kwenye kinu!!...sasa kama demu ana akili bwana yoyote anayetaka kweli kukuoa hawezi kuleta abo ya kwamba eti pata mimba kwanza ndio nikuoe. wee cha msingi aakachofanya ni kwenda checkup basi.
 
kina dada wajanja sana siku hizi. akiona una mwelekeo wa kuoa na huku una sogeza kalenda, anaamua kukuachia ili aharakishe Ndoa. mimi

yalinikuta hayo.. na kweli sikuwa na namna ilibidi nitangaze ndoa haraka kabla kitambi hakijapata umaarufu.. nilifnya sherehe ndogo na ya maandalizi mwezi mmoja. namshuru sana mke wangu kwa ajili hiyo. sikua tayari kuoa mapema.. pia nashukuru sana alikua mwelewa hakutaka makuu tulifanya harusi ya garama ndogo haikusumbua watu kwa michango. bora ndoa harusi mapambo tu. mungu akitujalia uhai mwaka ujao tatatimiza miaka sita ya Ndoa na kwa uweza wa Mungu tutakua na mtoto wa pili pia.
 
hakuna mtu anataka mimba loh!

kwa hiyo unataka nini sasa, nini maana ya kuoana? kama ni kula bure si umekula kwa wazazi wako, huku kwa mwanaume ni 'kazi' tu, huwezi rudi kwenu kafundwe upya, eboooooooooo!
 
watu wenyewe hawashauriki,
wanabenjuana, then ndo wanafanya harusi,
kikwetu walitakiwa wabariki ndoa tu.
 
Ni bahati mbaya tu !!

hahaaa....!!nafikili wasichana wamejijengea kwamba wakipata ujauzito ndo wanaolewa.mimi mtu akinifanyia uhuni wa aina hii namuacha ajifungulie alipopatia hiyo mimba.haiwezekeni wasichana muwe mnatuhalibia maisha kwa tamaa yenu.na hii ndo inasababisha watoto wengi kukosa baba zao/watoto wa mitaani.acheni hizo baana...!sio ishu.mia
 
kina dada wajanja sana siku hizi. akiona una mwelekeo wa kuoa na huku una sogeza kalenda, anaamua kukuachia ili aharakishe Ndoa. mimi

yalinikuta hayo.. na kweli sikuwa na namna ilibidi nitangaze ndoa haraka kabla kitambi hakijapata umaarufu.. nilifnya sherehe ndogo na ya maandalizi mwezi mmoja. namshuru sana mke wangu kwa ajili hiyo. sikua tayari kuoa mapema.. pia nashukuru sana alikua mwelewa hakutaka makuu tulifanya harusi ya garama ndogo haikusumbua watu kwa michango. bora ndoa harusi mapambo tu. mungu akitujalia uhai mwaka ujao tatatimiza miaka sita ya Ndoa na kwa uweza wa Mungu tutakua na mtoto wa pili pia.

Hongera sana kwa hilo mkuu
Wengi yametukuta hayo na unakuwa huna ujanja.
 
Labda kama alibakwa ndo unaweza kusema hakupenda, lakini aliyeanguka dhambini kwa hiari kama mimi, sikuona tatizo maana najua tunda halisi la kudo ni mimba, na hata ilipoingia nilifurahi na nilimshukuru Mungu kwa kunipa uwezo wa kuzaa..
 
Back
Top Bottom