WANAWAKE waliong'olewa VING'AMUZI.

WANAWAKE waliong'olewa VING'AMUZI.

Mshinga

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
3,532
Reaction score
1,128
Leo tujadili hili swala kwa wanawake waliong'olewa ving'amuzi katika raha ya tendo la usiku.
inatajwa kuwa watu hawa hukosa kabisa raha na hamu ya kushiriki mechi.
Nimepata kuelezwa kuwa hawa huwa hawaridhiki hata uwajibike vipi lakini wapi!!
pia kuna hili swala la kukosa network ya kuweka mazingira sawa ili kuondoa uwezekano wa kupata maumivu maana king'amuzi cha kupeleka taarifa ile kulainisha kuta kimeng'olewa.
Pia kuna shida ya kujifungua endapo mama akapata mimba.
hapa uzoefu wa nguli wa kung'oa ving'amuzi unahitajika kuweka majadala sawa.
kule mara wakina mura njoo hapa,maasai,wakina mama yeyo na wengine wengi mchango wenu unahitajika hapa.
My take:stop women circumcision:tohara ya wanawake ikomeshwe
 
Ving'amuz vp DIGITEK AU CONTINENTAL?

King'muzi ni king'amuzi tu,hayo majina ni mbwembwe za kibiashara ila katika anga ya sayansi kinajulikana kwa kazi yake ya kung'amua mambo.
 
Sorry kiongozi, nilimaanisha haya Mawazo umeyapata wapi mkuu?
 
Sasa mbona kila kitu unakijua na umeshakwisha kukielezea sasa unataka watu wajadili kitu gani hapo
 
Tafuta mwanamke asiye na ''king'amuzi'' ili upate experiential learning. Baada ya hapo urudi hapa kutusimulia ulichojifunza na tofauti iliyopo(kama ipo) kati ya walio nacho na wasionacho.
 
Mmmmh! mimi hapo ni mgeni kabisa naomba kuwapisha wengine......
 
Sasa mbona kila kitu unakijua na umeshakwisha kukielezea sasa unataka watu wajadili kitu gani hapo

Kidogo unachokijua ndio kimeelezwa hapa,yapo mengi hayajaelezwa na wahanga na wahusika
 
Leo tujadili hili swala kwa wanawake waliong'olewa ving'amuzi katika raha ya tendo la usiku.
inatajwa kuwa watu hawa hukosa kabisa raha na hamu ya kushiriki mechi.
Nimepata kuelezwa kuwa hawa huwa hawaridhiki hata uwajibike vipi lakini wapi!!
pia kuna hili swala la kukosa network ya kuweka mazingira sawa ili kuondoa uwezekano wa kupata maumivu maana king'amuzi cha kupeleka taarifa ile kulainisha kuta kimeng'olewa.
Pia kuna shida ya kujifungua endapo mama akapata mimba.
hapa uzoefu wa nguli wa kung'oa ving'amuzi unahitajika kuweka majadala sawa.
kule mara wakina mura njoo hapa,maasai,wakina mama yeyo na wengine wengi mchango wenu unahitajika hapa.
My take:stop women circumcision:tohara ya wanawake ikomeshwe

Mkuu si tu nakuheshimu sana lakini pia nimekuwa nikikuamini sana sasa leo mbona unatoa maelezo yanajichanganya mara

hukosa kabisa raha na hamu ya kushiriki mechi tena hawaridhiki hata uwajibike vipi lakini wapi? asiyekuwa na njaa utampaje chakula kingi kadri uwezavyo tena asilidhike?
Tendo lile bwana si kwa ajili ya usiku tu bali ni pale watu wanapo kuwa na hisia za kufanya hivyo pamoja na nafasi ya kufanya hivyo!
Kifupi ni changie kidogo ni kwamba kwanza wewe naamini sayansi ulisoma shule ya msingi, biology umesoma sekondari hata kama ni kwa magumashi! Lakini naamini umepata kusoma civics, GS, na historia kidogo ndio maana ukapata kudodosa madhara hapo juu. Makabila yaliyokuwa yanafanya hivyo wakiwemo wakurya na wamasai walikuwa wanatofautiana namna walivyo kuwa wanawakeketa dada zatu.Na kama hivyo ndivyo madhara nayo kwa kiasi kikubwa yanatofautiana! yapo makabila yanaondoa kitu yote na maanisha kinembe, yapo makabila yanakata kiasi, yapo makabila yana piga suna tu yaani kidogo tu. Yapo mengine yanaenda mbali yanakata hadi kuta za kitu ya papuchi hii ndio mbaya zaidi!
Kifupi ni tamaduni mbovu na ni za kishenzi hazifai kabisa, Kibiology Wanawake wengi watafurahia ukitumia dushelele yako iliosimama vizuri kupigapiga eneo la kinembe na hii huufanya dushelele kuwa na moto na unapomwingilia joto la dushelele yako litafanya raha ya tendo hilo kuwa kubwa zaidi. Kinembe ndio sehemu ambayo kwa asilima 80 huhusika na kazi ya kumfikisha mwanamke kileleni na kwa kuwa kinembe kiko mbali kidogo toka kwenye tundu la uke, sio rahisi kwa dushelele kukifikia kinembe, hivyo mwanaume anatakiwa ajisukume kwa makusudi kabisa kwenda mbele ili shina la uumelisugue kinembe wakati wa kuingia na kutoka kwa dushelele.
sasa ukiondoa kinembe hawezi kuwa na hisia kimwili bali kifikira tu japo kwa wanao punguza huwa wanakuwa na hisia ila si kama angeachiwa kama alivyo zaliwa! UNGANA NAO KUTOKOMEZA HIZO MILA!!!!!!!!
 
Jf mbona hamueleweki, kuna watu wamekuja na kutoa nyuzi wakidai wamefanya tafiti zinazoeleza sehemu mbalimbali za mwanamke ambazo zikitumiwa na wanaume wanaona raha ya mapenzi, wengine wameenda mbali kwa kusema weka hata wallet (iwe na hela lakini) mbele yake mnapofanya hili tendo, atafika kileleni tu. Inakuwaje tena king'amuzi ndio kibebe asilimia 80% ya hisia?

cc: watu8, Mshinga, lara 1, Kaunga, charming girl, mzabzab Ablessed MadameX Mtambuzi madameA madame B christine ibrahim Kongosho The Boss Mashaxizo Heaven on earth Bujibuji King'asti Lady doctor Mwali, KOKUTONA
 
Jf mbona hamueleweki, kuna watu wamekuja na kutoa nyuzi wakidai wamefanya utafiti zinazoeleza sehemu mbalimbali za mwanamke ambazo zikitumiwa na wanaume wanaona raha ya mapenzi, wengine wameenda mbali kwa kusema weka hata wallet (iwe na hela lakini) mbele yake mnapofanya hili tendo, atafika kileleni tu. Inakuwaje tena king'amuzi ndio kibebe asilimia 80% ya hisia?

cc: watu8, Mshinga, lara 1, Kaunga, charming girl, mzabzab Ablessed MadameX Mtambuzi madameA madame B christine ibrahim Kongosho The Boss Mashaxizo Heaven on earth Bujibuji King'asti Lady doctor Mwali, KOKUTONA,

Kingamuzi gani Digitek au continental!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom