Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,471
- 526
Ukasema ving'amuzi watu wanajua tigo au ndogo, kumbe we uko kuuuuuuule kwa Enzo za mwalim
inawezekana yeye alikuwa anaamini amefika kileleni kumba hajafika kwasababu kilele chenyewe hata hakijui. siku akija kukijua ataelewa amepoteza muda mwingi sana kuamini kisicho.Asikudanganye mtu raha iko pale pale, mimi nakumbuka miaka ya 1997/98 nikiishi pande za Kola Hill, Morogoro enzi hizo, niliwahi kuwa na demu wa kigogo ambaye hakuwa na king'amuzi, lakini alikuwa anafika kilele kama kawaida. Tena wakati mwingine alikuwa aniita mwenyewe na nikifika namkuta keshalowa kitumbua tayari kwa tendo.
sijakuelewa kuwa "kufika kileleni au la asingezaa?", hivi unafikiri kuzaa kuna uhusiano wowote na kufika kileleni?unajua hata ukimwagia tu hapo juu ya vulva mbegu zikapata mwanya wa kishimo mimba inatunga? tunachoongelea ni kufurahia tendo. ukikata tishu za clitoris umeondoa asilimia kubwa ya tishu zinazounganisha utamu. harage ni sawa tu na wewe unavyokuwa na penisi. ni sawa na wewe hapo wakukate penis alafu uambiwe utekenywe tu hisia zako zimebaki wapi sasa? kama vile wewe penisi inavyosimama na wao wakisisimka harage huwa linasimama na ukilitekenya linawaongezea mzuka na wanafika kileleni haraka kama vile wewe ukisugua penis unafika kileleni. msiwakate watoto wenu.Umefanya utafiti kwa mtu mmoja tena ambaye mimi na wewe hatujui amekeketwa kwa namna ipi amepiga kitu ya suna, amekatwa wasitani au wameng'oa yote. Lakini pia yawezekana ni miongoni mwa wale wachache ambao 80% haiko kwenye king'amuzi! Na yawezekana asinge katwa ange pata raha zaidi mwisho kwa kuwa alikatwa akiwa mdogo kuna uwezekano hajui wenye hiyo mambo wanapata raha gani. Na watu wanakosea pale wanapo fikiri aliye katwa hafiki kileleni ila how? ndio changamoto lasivyo asinge zaa. Napenda kuwajuza kukeketwa katika kabila langu kulitokana na kumwaandaa mtu kuolewa na hii ni kumpunguzia mapepe na kumfanya atulie asisukumwe na hisia kuwa malaya na ndio maana makabila yaliyokuwa yanakeketa walio wengi si malaya (nazungumzia wanawake) hii ni kwa sababu hisia zao huongozwa na fikira za mawazo. unajua hisia za kuwa na mtu fulani katika mambo haya hutokana na msukumo wa mawazo au mwili sasa wao mara nyingi ni mawazo yanatumika. binti kabla ya hivyo wakati wa barehe husumbua sana ila kama amefanyiwa hivyo huwa mtulivu! ujue niwambie ukweli utabaki kuwa ukweli zamani babu zetu hawakujua kuwa foolish age ni kipindi cha mpito walitafuta suruhisho bila kuona madhara!!!!!