Wanawake walioko kwenye 30s

platozoom............. Mie ni mbichiiiiiiiiii.....kigoriiiiiiiiiiiii.......... nakati ya Between 20-30.
 
Last edited by a moderator:
None of the above....Kusema ukweli hata hiyo ndogo hajaifikia...

Kama kuna mtu anabisha aseme ili nimwage ushahidi..

Babu DC!!
Babu kuna kitu kimejificha kwa kauli yako...hebu nambie wewe ni member wa kule jukwaani kwetu?
Umemjuaje Madame B ?
Umesoma nae ?
Hahahahaaaa
Salamu zao TA
 
Last edited by a moderator:
-Hata mizinga hawapigi ovyo ovyo mpwa
-Hawezi beba mashosti kwenye appointment
-Anaelewa maisha yalivyo ukimwambia huna kitu mwelewa
-Hawana makuu, wavumilivu
-Wanajua kuthamini/kumjali mwenza.

zaidi ni waelewa sana katika mapenzi kiasi ukimtongoza leo kesho unaenda kula mzigo. ni swala la maelewano tu.
 
Babu kuna kitu kimejificha kwa kauli yako...hebu nambie wewe ni member wa kule jukwaani kwetu?
Umemjuaje Madame B ?
Umesoma nae ?
Hahahahaaaa
Salamu zao TA

Umeanza lini tabia ya kumkosea adabu Babu?

Hivi kuna mtu ambaye hawafahamu wajukuu zake?

Babu DC!!
 
Babu kuna kitu kimejificha kwa kauli yako...hebu nambie wewe ni member wa kule jukwaani kwetu?
Umemjuaje Madame B ?
Umesoma nae ?
Hahahahaaaa
Salamu zao TA


Namkaribisha kule Maeneo...........
Kaka Erickb52,............mlete lile chimbo.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Mwaga ushahidi....

Ila ujue kuwa,...ukimwaga ugali....shaurilo...

Babu DC!!

Hivi umerudia ile tabia yako ya kupuliza lile jani hadi unakuwa na haya 24/7?

Babu DC!!

Kuna watu wananimendea hivo naogopa kuwafungulia mlango Babu.

Mwacheni Babu kajichokea akalale. Mkianza kumsuta mtafanya apoteze hata ile hazina ndogo kama chembe ya haradali.
Hivi hujui wazee wanapata ile kitu kwa msimu.........Kipupwe, Masika, Kiangazi na Vuli!!!

Mwenzangu akajilalie tu.........atuache sie tukae Sebleni tucheki TV peke yetu.
 
Hahahahaaa
Ataninyima mke aisee
Mwache abaki jukwaa la matangazo tu

Hapa sikubaliani na nyie....Hatutaki kwenda Bombo Hosital kutoa pole! Hivi hamna huruma na Babu zenu?
Mnataka wa-faint kwenye laptop

Nyie sasa naona mnaendekeza mchezo wa kutoka nje ya mada...

Ngoja nimwite Kaizer kabla sijawaachia jamvi lenu..

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu wananimendea hivo naogopa kuwafungulia mlango Babu.



Mwenzangu akajilalie tu.........atuache sie tukae Sebleni tucheki TV peke yetu.

Kwaherini....

Ila mkubuke kuwa Babu hataki kesi..lol!!

Babu DC!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…