MBWAMBO NICHOLAUS JR
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 423
- 434
Nimependa hapoHela itafanya upendwe hata km bubu, hayo mengine ni ufala tu
UFALA
Nimependa hapoHela itafanya upendwe hata km bubu, hayo mengine ni ufala tu
Nimependa hapoHela itafanya upendwe hata km bubu, hayo mengine ni ufala tu
Mkwe[emoji16][emoji16]
Hakika ndivyo tulivyo.Binafsi napenda wale wapole yaan hawana habar na mtu wala mazoea na utani wa kipuuz ata ukikaa nae kwa bus wala hana habar na wewe anakua bze na yake..napenda mwanaume asiezoeleka haraka yaan hana time na mtu kabisa...ukimzoea basi ujue umejipendekeza.
Nitafute
nina zawadi yako
Pm yako iko wazi ?nikutafutaje tena mana hata kuanzisha pm chart sijui...Karibu
yah karibuPm yako iko wazi ?
Na kauso kako kaupole, hutojutia ukisogea kwangu dearWengine tunapenda wapole.
Na kauso kako kaupole, hutojutia ukisogea kwangu dear
Afadhari umetutetea sisi wapole.Wengine tunapenda wapole.
Nakujayah karibu
usisahau zawadi apo mezanNakuja
ngoja nichukue nauli hapa chumbani
we unavutiwa na introvertsBinafsi napenda wale wapole yaan hawana habar na mtu wala mazoea na utani wa kipuuz ata ukikaa nae kwa bus wala hana habar na wewe anakua bze na yake..napenda mwanaume asiezoeleka haraka yaan hana time na mtu kabisa...ukimzoea basi ujue umejipendekeza.
Mwanaume unapoamua kuvaa viatu vya mwanamke ni hatari kwa jamii.Huu ni ukweli usio na shaka, wanawake walio wengi wanapenda wanaume waliochangamka, kama mwanaume ni mpole itakuwia vigumu kupata mwanawake wa kuingia naye kwenye mahusiano.
Hata ukiwaangalia ma-playboy wengi wao ni wachangamfu, ambao ni wapole ni wachache sana.
Ukiangalia wanaume wengi masingle ni wale wapole, lakin ni adra sana kukuta mwanaume mchangamfu alafu ni single.
Na kwenye ndoa wanaume wapole inawawia vigumu kuingia kwenye ndoa, wako ambao inafikia hatua wanatafutiwa wake na wazazi wao, kaka, Dada, ndugu au marafiki. Ni tofaut na waliochangamka wao kupata mwenza wa maisha ni rahisi sana.
NOTE; nime-assume other factor ni constant kama fedha
Huu ni ukweli usio na shaka, wanawake walio wengi wanapenda wanaume waliochangamka, kama mwanaume ni mpole itakuwia vigumu kupata mwanawake wa kuingia naye kwenye mahusiano.
Hata ukiwaangalia ma-playboy wengi wao ni wachangamfu, ambao ni wapole ni wachache sana.
Ukiangalia wanaume wengi masingle ni wale wapole, lakin ni adra sana kukuta mwanaume mchangamfu alafu ni single.
Na kwenye ndoa wanaume wapole inawawia vigumu kuingia kwenye ndoa, wako ambao inafikia hatua wanatafutiwa wake na wazazi wao, kaka, Dada, ndugu au marafiki. Ni tofaut na waliochangamka wao kupata mwenza wa maisha ni rahisi sana.
NOTE; nime-assume other factor ni constant kama fedha
Mistaking introversion for shyness is a common error. Introversion is a preference, while shyness stems from distress. Introverts prefer solitary to social activities, but do not necessarily fear social encounters like shy people do.Kuna ukimya, upole na udomo zege...
Ukimya unakuja na umimi... upole inakuja na huruma/ukarimu... udomo zege unaambatana na wivu...
Binadamu yoyote mcheshi hachoshi...
Cc: mahondaw