Wanawake walio wengi wanapenda wanaume wachangamfu

Wanawake walio wengi wanapenda wanaume wachangamfu

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,622
Reaction score
10,262
Huu ni ukweli usio na shaka, wanawake walio wengi wanapenda wanaume waliochangamka, kama mwanaume ni mpole itakuwia vigumu kupata mwanawake wa kuingia naye kwenye mahusiano.

Hata ukiwaangalia ma-playboy wengi wao ni wachangamfu, ambao ni wapole ni wachache sana.

Ukiangalia wanaume wengi masingle ni wale wapole, lakin ni adra sana kukuta mwanaume mchangamfu alafu ni single.

Na kwenye ndoa wanaume wapole inawawia vigumu kuingia kwenye ndoa, wako ambao inafikia hatua wanatafutiwa wake na wazazi wao, kaka, Dada, ndugu au marafiki. Ni tofaut na waliochangamka wao kupata mwenza wa maisha ni rahisi sana.

NOTE; nime-assume other factor ni constant kama fedha
 
Kwa tafsiri nzuri ni kuwa, Wanawake wanapenda wanaume waongo na vicheche. Mana 90% ya wanaume hao wanaoitwa wachangamfu ni vicheche na waongo wa kiwango cha juu kabisa
 
Binafsi napenda wale wapole yaan hawana habar na mtu wala mazoea na utani wa kipuuz ata ukikaa nae kwa bus wala hana habar na wewe anakua bze na yake..napenda mwanaume asiezoeleka haraka yaan hana time na mtu kabisa...ukimzoea basi ujue umejipendekeza.
 
Huu ni ukweli usio na shaka, wanawake walio wengi wanapenda wanaume waliochangamka, kama mwanaume ni mpole itakuwia vigumu kupata mwanawake wa kuingia naye kwenye mahusiano.

Hata ukiwaangalia ma-playboy wengi wao ni wachangamfu, ambao ni wapole ni wachache sana.

Ukiangalia wanaume wengi masingle ni wale wapole, lakin ni adra sana kukuta mwanaume mchangamfu alafu ni single.

Na kwenye ndoa wanaume wapole inawawia vigumu kuingia kwenye ndoa, wako ambao inafikia hatua wanatafutiwa wake na wazazi wao, kaka, Dada, ndugu au marafiki. Ni tofaut na waliochangamka wao kupata mwenza wa maisha ni rahisi sana.

NOTE; nime-assume other factor ni constant kama fedha
Women are in love with big dick whatever the fuk you are.
 
Binafsi napenda wale wapole yaan hawana habar na mtu wala mazoea na utani wa kipuuz ata ukikaa nae kwa bus wala hana habar na wewe anakua bze na yake..napenda mwanaume asiezoeleka haraka yaan hana time na mtu kabisa...ukimzoea basi ujue umejipendekeza.
Umenijuaje mimi huyo kabisa.
 
Back
Top Bottom