Wanawake walevi huchepuka kwenye mahusiano

Wanawake walevi huchepuka kwenye mahusiano

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hands up..khaaa...najua ww kinda kbs kumbe intelijensia umeikatisha tu makusudically
Niliwahi kuishi sehemu yenye walevi wa hizo mambo(vodka + Smirnoff), niliona haina maana nikaachana nayo. Six yrs on sijawahi onja tena ..

Ila kama unataka niwe mwanafunzi wako twende kazi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Katika pitapita zangu za kuyapiga maji... Nikiwa na crew na jamaa zangu, sijawah kukutana na mwanamke (ama binti/mke wa mtu) Ambaye atakaa na sisi/na mimi asitoe namba ya simu baada ya kugigida pombe ama hata kuondoka nae kabisa..

Nasisitiza, kama hajachepuka alhamis, atachepuka jumamos
Kweli kabisa wengine ukiwapa red wine au Amarula wanakutongoza
 
Back
Top Bottom