Wanawake wakibeba mimba wanatukomoa

Wa kwangu kituko chake ni SIMU, yaani nikirudi nyumbani tu kabla ya Salamu keshaidaka simu yangu. Ataipeleleza weee hadi wakati wa kulala. Na ole wako agundue kitu!
 

Nimecheka kidogo nilie
 

Daah...pole sana
 
I can feel what they're going through. Wangu hakuwa na mapozi sana lakini mtoto alipofia huko ndani, then yeye akapata massive complications, acha kabisa...hawa watu tuwaheshimu tu, huwa wanapitia kipindi kigumu wakati wa ujauzito.

Ubarikiwe japo bado sijazaa
 
Wa kwangu mwili ulikuwa unawasha usiku kucha nikune hapa uwiiiii nikune hapa ayayaya nikune hupo nikimwambia jikune mwenyewe timbwili lake sasa wakuu nilifanya kazi ya kukuna kila siku usiku kucha ajabu mchana anakuwa okk kilichotokea job niliomba likizo ya dharura mpaka alipokuja sister wangu kuokoa jahazi. Kucha zote za mikono yangu taaaaabani
 

Kwa wakati wa Mungu atawapa haja ya mioyo yenu! lakini pia ni vizuri mkiwaona wataalam wa haya mambo! poleni sana!
 
Loh yaan huko kukosa usingizi naona hadi nilikuwa mlinzi wa hiyari, mimba ikiamua kukutesa ni shida sana... Mmmh upumzike kwa amani mwanangu!

Bila shaka amepumzika kwa amani! pole sanaa!
 

Pole sana! Mungu akuwezeshe!
 
Huku mie mbavu sina,sijaoa bado hivyo hii tushen inanifunza kuwa mvumilivu.
Halafu huu ni kama mtihani linalo
mpata A usidhani litajirudia kwa BCD.
wote watakuwa tofauti..
Nami pia nadhani itakuwa tofauti kama nilivyoona wakitofautiana wanawake wote..
Pia hongereni kwa ushindi na kuitwa
akina Baba/Mama flan.,,
kumbe kuitwa Baba/Mama sii mchezo eenheee!!
 
Nashukuru sana wachangiaji nimegundua kitu kutoka kwa hawa watu,
kwa maana nipo katika kipindi kigumu kweli,
ila baada ya huu mwezi kuisha nitaitwa baba.
 
Mungu ana sababu zake mkuu..kama ipo ipo tu! Kesho kuila leo ni uroho!..
Asante sana chief bado naishi kwenye subira Mungu ana sababu zake.

Kwa wakati wa Mungu atawapa haja ya mioyo yenu! lakini pia ni vizuri mkiwaona wataalam wa haya mambo! poleni sana!
Yeah ni kweli nimeshafanya mawasiliano na wote tuko poa naamini suala la muda ila nadhani unaelewa ile hamu ya kinda inavyokua.
 

Hayo masumbufu bora tu kuliko huo uchungu,juzi nilikua na shem wangu sekou toure nimeona tu huo uchungu ni balaa kwahyo hzo kero jaribu kubadilishana na uchungu uone.
 
Asante sana chief bado naishi kwenye subira Mungu ana sababu zake.


Yeah ni kweli nimeshafanya mawasiliano na wote tuko poa naamini suala la muda ila nadhani unaelewa ile hamu ya kinda inavyokua.

ni kweli kbs!
 

Pole kwa yote dada Mungu ni mwema.
Azid kukutia nguvu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…