Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,129
- 7,450
EdelynNawangoja wale wabishi waje kupinga kishabiki. Wanauzi kinoma hawa na wanatutesa wenye mapenzi ya kweli.
Sasa kwani ww unaexpect penzi liwe chachu kwa vile mshavuka uchumba?Wanaume mnafeli pale mnapo expect ili penzi liwe stable na liwe jipya kila siku lazima mwanamke a play part kubwa kitu ambacho sio sahihi.
Le me tell you this, wanawake tuna hitaji vitu vidogo vidogo tu ili tufanye mnachotaka.
Mkishatupata mnapunguza attention no texts /call like before. Vizawadi vidogo vidogo vinasitishwa, weekly dinners dates mnaacha. Nabadilisha hairstyle, nanunua nguo mpya, perfume.... but u don't even notice let alone complement me!!!!
Kwa ufupi mkishatupata mnajisahau.... and you expect us to keep our game on top??? Come on boys, love is a two way game .
If you give a woman your attention she'll want to impress you and make you happy e'day in all ways she can from the kitchen to the bedroom .
Ignore her and you'll run to Jf and start a thread...
Sio inasaidia...ni muhimu sana.Michepuko inasaidia sana..
Mkuu tupo wengiAcha tu boss. Nina Mwanamke wangu nampenda na namuhudumia lakini ana kiburi cha kizaliwa wala hafanyi makusudi imebidi nimchunguze mama yake na ni vile vile.
Nimenyoosha mikono
Hawa watu ni pasua kichwa sana.Acha tu boss. Nina Mwanamke wangu nampenda na namuhudumia lakini ana kiburi cha kizaliwa wala hafanyi makusudi imebidi nimchunguze mama yake na ni vile vile.
Nimenyoosha mikono
Nawangoja wale wabishi waje kupinga kishabiki. Wanauzi kinoma hawa na wanatutesa wenye mapenzi ya kweli.
Kwa sababu ninyi ndio mnatulisha sumu kuwa heshima ya mwanamke ndoa kwa hiyo mtu hata kama hapendi ndoa atalazimisha kuolewa ili apate hiyo 'heshima'Asilimia 90 ya wanawake kichwani wameweka tu neno NDOA lakini nini cha kufanya baada na ndani ya ndoa is non of their business.
Hivi kuna kingine cha kuongezea tena hapa? Umemaliza kila kituWanaume mnafeli pale mnapo expect ili penzi liwe stable na liwe jipya kila siku lazima mwanamke a play part kubwa kitu ambacho sio sahihi.
Le me tell you this, wanawake tuna hitaji vitu vidogo vidogo tu ili tufanye mnachotaka.
Mkishatupata mnapunguza attention no texts /call like before. Vizawadi vidogo vidogo vinasitishwa, weekly dinners dates mnaacha. Nabadilisha hairstyle, nanunua nguo mpya, perfume.... but u don't even notice let alone complement me!!!!
Kwa ufupi mkishatupata mnajisahau.... and you expect us to keep our game on top??? Come on boys, love is a two way game .
If you give a woman your attention she'll want to impress you and make you happy e'day in all ways she can from the kitchen to the bedroom .
Ignore her and you'll run to Jf and start a thread...
Wako mlangoni wanasukumana 'ingia wewe' na mwingine anasema 'anza wewe'Next patient please.....
Hii mada huwa ni kama ile ya Kuku na yai kipi kilianza, au ile ya Ronaldo na Messi nani mkali.
Nimechoka na hii hali labda nitafute nitapata wa kufanana nae...sjui wapo sasa?pole sana
Mkuu nimechoka sahivi afu istoshe mtu unamuhudumia kadri ya uwezo wakoUmeongea kwa uchungu sana
Hujafunga ndoa kwani?Nimechoka na hii hali labda nitafute nitapata wa kufanana nae...sjui wapo sasa?
Wakati wa uchumba wanawake wanakuwa viumbe wengine, wazuri na wenye mapenzi, wakati mwingine mwanaume hufanyiwa vitu mpaka unatangaza ndoa bila kujua. Kipindi hiki mapenzi yanakuwa moto moto, kila ukihitaji unapewa, kazi zote unafanyiwa, kumbe ni kampeni ya kuisaka ndoa.
Mara tu mnapoolewa wanawake mnajisahau sana, dharau, viburi, ujuaji, mapenzi zero mbaya zaidi hata kile chakula chetu pendwa unapewa kwa kupangiwa, kila siku mnuno, mvivu, na kutokujali.
Wakati mwingine unaoa ili upate pumziko la mwili na akili pindi ukichoka lakini unajikuta umeingia kwenye moto ambao huzimiki, hivi kweli kwa hali kwanini mwanaume nisitafute mchepuko wa kupata pumziko, bahati nzuri pia michepuko inajua kucare na haina kelele nyingi.
Hebu wanawake jaribuni kutufanyia yale mliyokuwa mnatufanyia enzi za uchumba muone kama tutachepuka, hata tukijaribu nafasi itatusuta.
namngoja ajibuAkija kujibu nitag!
Kwahio unataka ku justify nini? Hili swala la kazi mbona linatumika kama ishu sana wakati wengine baba zao walipoyumba kiuchumi mama zao walijitoa muhanga wakaendesha familia bila kuleta dharau kwa wazee wao na wapo humu.Maisha ya ndoa ni siri kubwa hasa kwa wanaume. Wanaume wengine hasa wa kizazi hiki akishatoa mahali anadhani kuwa kamaliza kila kitu. Hawatimizi majukumu yao kama baba kisa katoa mahali. Anafikiria kummiliki mkewe kuanzia mshahara wake na majukumu ya familia anata mchangie kisa kaoa, kwa kuwa wakati mwingine anajua mke wake ana uwezo wa kufanya hivyo. Tena husiombe mkewe akawa mfanyakazi ni shida tupu.
Mwanaume wa aina hii akirudi jioni anatagemea atapata mapokezi yanayostahili?