Nifanyeje niache kuchukia wanawake kiasi hiki ili niweze kupenda tena

MtamuMix

Senior Member
Feb 10, 2018
119
138
Ninasumbuliwa na tatizo hili la kuchukia wanawake maishani mwangu, hata kama anipende kiasi gani, hata kama ana uwezo wa kifedha kiasi gani, hata awe na sura nzuri kiasi gani, hata awe na kazi nzuri kiasi gani. Sana sana akinisumbua sana nitaishia kufanya naye mapenzi mara moja ndo kwaheri.

Sina nafasi moyoni ya kuendeleza mahusiano yakawa productive kwa upande wa pili sijui ni mkosi gani, mara nyingi ninapokutana na mwanamke (mfano kwenye public transport, maofisini, kanisani au popote pale kwenye kusanyiko) tukaongea, tukafahamiana na kupeana mawasiliano nikijifanya kuanzisha utani kidogo wa mambo ya mapenzi fasta mwanamke anajaa nikikaa nipange list kwa wiki mbili hivi si chini ya tano wameshaingia kwenye 18 zangu, kila mmoja ananiuliza aje lini kwangu.

Background:
Niliishi maisha ya ujana (teenager mpaka late 20s) nikiwa mpole sana na katika mazingira ya dini sana sikujihusisha na mapenzi mpaka siku ya ndoa yangu. Baada ya miaka takriban 5 mambo yalianza kwenda mrama niliumia sana baada ya kuona true colour of women nilikuwa napatwa sana na hasira, ila background yangu ya dini ilinisaidia kuepuka kufanya jambo baya, maana sinywi, sivuti sigara (in short siyo mtu wa anasa).
Siku nilipoamua kuchepuka, ndipo nilipoharibu.

Nilinogewa sana hata nikaonyeshwa mapenzi ambayo nilikuwa siyajui na sikuwahi kupata kwenye ndoa. Niliumizwa na usiri wa mahusiano yasiyo rasmi, kwa sababu niliona ni starehe ya muda mfupi nikifikiri huyu ana mtu wake wa kudumu na siwezi kuwa naye milele niliumia zaidi, niliona kama nimemwagia moto petroli wakati mwingine niliwaza nikinogewa zaidi hofu ya kufumaniwa ilikuwa inakuja kichwani nikaamua kuachana na michepuko.

Sasa:
Nimebaki na maisha yangu yasiyoeleweka naipenda familia yangu napenda watoto wangu, nawatunza nawajali sana haijawahi kutokea familia yangu ikatetereka kwa kukosa mahitaji yoyote ila sina hisia tena na ndoa (kwa maana ya tendo la ndoa) hata nikikaa miezi sita bila kwenda home sioni shida in short am fed up.

Hivi karibuni nimetoka kugombana sana na dada mmoja tulifahamiana katika mazingira ya kikazi zaidi mawasiliano yalivyoongezeka nikaona mtoto anajiingiza kichwa kichwa nikajaribu kuficha uhalisia wangu tukawa tunachat nikaanza kuignore wakati mwingine nakaa hata siku nne sijamsalimu.

Akawa anakasirika sana, na mimi niliona ndo fursa ya kuachana aendelee na maisha yake inafika wakati ananiaga kwa hasira kuwa tuachane nisimtafute tena, maana sijali hisia zake, mimi nanyamaza baada ya wiki anaanza tena kunitafuta ananibembeleza kumbuka hapo hatujafanya lolote bado.

Ni wengi wananisumbua kwa style hiyo aKilini mwangu nimeshafuta file la "love" na badala yake limebaki la "sex" naweza kumsaidia mwanamke kwenye shida flani (lets say fedha), akatatua tatizo lake, na yeye akatumia hiyo fursa kujisogeza kwangu unexpectedly, naweza kumuacha tena bila hata kufanya mapenzi na ndipo wengine hunichukia bila sababu.

Imefika hatua najiuliza nifanyeje nijifunze kupenda tena? This is just addiction, like any other addictions.
 
Katafute pesa kwenye biashara haswa kilimo!
Usijilazimishe kuwa kama watu wengine
Tumeumbwa tofauti sana
Nimesha wahi ona wahindi wakiwa hivyo, concentration yao yote wanaweka kwenye utafutaji wa pesa tena kama una watoto, anza kuwaandalia biashara ambayo itakuja kuwasaidia mpaka kizazi chako!
Solitude inakuita!
Focus kwenye pesa tu! Hata kama umeajiriwa, bado tafuta biashara (wenzetu wahindi ndiyo wanavyofanya)
 
Come out from the closet
Ninasumbuliwa na tatizo hili la kuchukia wanawake maishani mwangu, hata kama anipende kiasi gani, hata kama ana uwezo wa kifedha kiasi gani, hata awe na sura nzuri kiasi gani, hata awe na kazi nzuri kiasi gani. Sana sana akinisumbua sana nitaishia kufanya naye mapenzi mara moja ndo kwaheri. Sina nafasi moyoni ya kuendeleza mahusiano yakawa productive. Kwa upande wa pili sijui ni mkosi gani, mara nyingi ninapokutana na mwanamke (mfano kwenye public transport, maofisini, kanisani au popote pale kwenye kusanyiko) tukaongea, tukafahamiana na kupeana mawasiliano nikijifanya kuanzisha utani kidogo wa mambo ya mapenzi fasta mwanamke anajaa. Nikikaa nipange list kwa wiki mbili hivi si chini ya tano wameshaingia kwenye 18 zangu, kila mmoja ananiuliza aje lini kwangu.

Background:
Niliishi maisha ya ujana (teenager mpaka late 20s) nikiwa mpole sana na katika mazingira ya dini sana. Sikujihusisha na mapenzi mpaka siku ya ndoa yangu. Baada ya miaka takriban 5 mambo yalianza kwenda mrama. Niliumia sana baada ya kuona true colour of women. Nilikuwa napatwa sana na hasira, ila background yangu ya dini ilinisaidia kuepuka kufanya jambo baya, maana sinywi, sivuti sigara (in short siyo mtu wa anasa).
Siku nilipoamua kuchepuka, ndipo nilipoharibu. Nilinogewa sana, hata nikaonyeshwa mapenzi ambayo nilikuwa siyajui na sikuwahi kupata kwenye ndoa. Niliumizwa na usiri wa mahusiano yasiyo rasmi, kwa sababu niliona ni starehe ya muda mfupi. Nikifikiri huyu ana mtu wake wa kudumu na siwezi kuwa naye milele niliumia zaidi, niliona kama nimemwagia moto petroli. Wakati mwingine niliwaza nikinogewa zaidi hofu ya kufumaniwa ilikuwa inakuja kichwani. Nikaamua kuachana na michepuko.

Sasa:
Nimebaki na maisha yangu yasiyoeleweka. Naipenda familia yangu napenda watoto wangu, nawatunza nawajali sana. Haijawahi kutokea familia yangu ikatetereka kwa kukosa mahitaji yoyote. Ila sina hisia tena na ndoa (kwa maana ya tendo la ndoa). Hata nikikaa miezi sita bila kwenda home sioni shida. In short am fed up.
Hivi karibuni nimetoka kugombana sana na dada mmoja tulifahamiana katika mazingira ya kikazi zaidi. Mawasiliano yalivyoongezeka nikaona mtoto anajiingiza kichwa kichwa. Nikajaribu kuficha uhalisia wangu tukawa tunachat. Nikaanza kuignore wakati mwingine nakaa hata siku nne sijamsalimu. Akawa anakasirika sana, na mimi niliona ndo fursa ya kuachana aendelee na maisha yake. Inafika wakati ananiaga kwa hasira kuwa tuachane nisimtafute tena, maana sijali hisia zake, mimi nanyamaza baada ya wiki anaanza tena kunitafuta ananibembeleza. Kumbuka hapo hatujafanya lolote bado. Ni wengi wananisumbua kwa style hiyo. AKilini mwangu nimeshafuta file la "love" na badala yake limebaki la "sex". Naweza kumsaidia mwanamke kwenye shida flani (lets say fedha), akatatua tatizo lake, na yeye akatumia hiyo fursa kujisogeza kwangu. Unexpectedly, naweza kumuacha tena bila hata kufanya mapenzi na ndipo wengine hunichukia bila sababu.
Imefika hatua najiuliza nifanyeje nijifunze kupenda tena? This is just addiction, like any other addictions.
 
Katafute pesa kwenye biashara haswa kilimo!
Usijilazimishe kuwa kama watu wengine
Tumeumbwa tofauti sana
Nimesha wahi ona wahindi wakiwa hivyo, concentration yao yote wanaweka kwenye utafutaji wa pesa tena kama una watoto, anza kuwaandalia biashara ambayo itakuja kuwasaidia mpaka kizazi chako!
Solitude inakuita!
Focus kwenye pesa tu! Hata kama umeajiriwa, bado tafuta biashara (wenzetu wahindi ndiyo wanavyofanya)
Ushauri mzuri sana,,, hata mie umenisaidia,,, i do hate women than this guy,,,,
 
Usijilazimishe kupenda,hakuna jipya kwenye kupenda ukweli ni kwamba kila mmoja atakuumiza kwa njia moja au nyengine ila wako wanao stahili kuumia kwa ajili yao wengine hana hadhi ya kukuumiza hawana, sasa chamsingi achana na kufikiria hayo kwa sasa tena shukuru hawakuumizi kichwa fanya yako haraka sana kabla hujamuona atakae kuumiza manake yupo sema mda wake haujafika.
 
Mwenyewe nimewahi kukumbana na hii kadhia ila nilijifunza kitu ukiona sehemu hapakaliki jua kuna tatizo Mungu anakuepusha na mengi usiishie kujilaumu huwezi jua Mungu anakuepusha na mangapi pengine lazima upitie hayo mapito ili uwe imara.
 
My Friend you need Soul mate..
unahitaji rafiki wa kike ambae sio mpenzi ...mtu anaefit mahitaji yako yote ila sio mapenzi anaweza kukubadilisha kwa asilimia kadhaa....
Yani unahitaji soulmate mkuu.
 
Kama unamchukia hadi mkeo una kazi ya ziada aiseee, ukiwachukulia wanawake very serious utaishia kulizwa tu. Mjomba angu anasema wakati anajenga nyumba ya familia yake, demand kubwa kabisa ya mkewe ilikuwa ni kumkumbusha mara zote kuhusu kumwekea kamba za kuanikia nguo. Yaani unmtumia hela mkeo za ujenzi na bajeti yake namna zinavotakiwa kutumika halafu anakuambia mume wangu umesahau kubajetia kamba za kuanikia nguo- hahahaaaaaaa
 
Kama unamchukia hadi mkeo una kazi ya ziada aiseee, ukiwachukulia wanawake very serious utaishia kulizwa tu. Mjomba angu anasema wakati anajenga nyumba ya familia yake, demand kubwa kabisa ya mkewe ilikuwa ni kumkumbusha mara zote kuhusu kumwekea kamba za kuanikia nguo. Yaani unmtumia hela mkeo za ujenzi na bajeti yake namna zinavotakiwa kutumika halafu anakuambia mume wangu umesahau kubajetia kamba za kuanikia nguo- hahahaaaaaaa
Huyo mwanamke amenifurahisha sana.

Kuna wanawake wanaoridhika na vitu 'vyao' fulani tu kwenye maisha yao, roho yake inaridhika kabisa mara nyingi huwa ni wanawake watulivu. Nilishakutana nayo hii.
 
Pia mkuu kama yemepita yamepita haina haja ya kuweka vitu moyoni maisha yenyewe mafupi... so samehe kwa faida yako.
Yawezekana ww ni mgumu wa kusamehe sasa ukiweka huo uchafu moyoni moyo wako utakua ktk hali gani?
Lazima udunde tuu mkuu pole sana...

Wataalamu wanasema expect worse mda wote coz hujui nn kitatokea...
Nimepitia hii hali na bado inanisumbua kiasi flani.
Pole sana kwa usaliti.
 
My Friend you need Soul mate..
unahitaji rafiki wa kike ambae sio mpenzi ...mtu anaefit mahitaji yako yote ila sio mapenzi anaweza kukubadilisha kwa asilimia kadhaa....
Yani unahitaji soulmate mkuu.

Kuna mambo siyo mepesi mkuu. Najua nimefanya mistake somewhere, but haiwezekani kureverse mkanda wa maisha.
Nilipitia maisha ya shida sana utotoni na ujanani, nikawa kama isolated from the world of youthhood. I then became so religious man, nilisoma kwa nguvu kubwa sana, nilifanya kazi kwa bidii kubwa sana, nilijua nikiweza kujitegemea, nikapata mchumba nione niwe na family i will be the happiest man in the world. Kumbe i was so overoptimistic. Nilichukulia ndoa kama paradiso....... Kumbe sikujua upande wa pili wa shilingi.... Now i have financial stability, i have a good paying job, but lost happiness. I swear ningekuwa nakunywa pombe leo hii ningekuwa mlevi wa kupindukia, but i thank God
 
Kuna mambo siyo mepesi mkuu. Najua nimefanya mistake somewhere, but haiwezekani kureverse mkanda wa maisha.
Nilipitia maisha ya shida sana utotoni na ujanani, nikawa kama isolated from the world of youthhood. I then became so religious man, nilisoma kwa nguvu kubwa sana, nilifanya kazi kwa bidii kubwa sana, nilijua nikiweza kujitegemea, nikapata mchumba nione niwe na family i will be the happiest man in the world. Kumbe i was so overoptimistic. Nilichukulia ndoa kama paradiso....... Kumbe sikujua upande wa pili wa shilingi.... Now i have financial stability, i have a good paying job, but lost happiness. I swear ningekuwa nakunywa pombe leo hii ningekuwa mlevi wa kupindukia, but i thank God
Have you ever Let go?????

nenda kalidadavue neno "Let" lina maana sana maishani

ukiishi ndani ya "let" nakwambia tena utapata amani taratibu..

nmekishauri kuwa na rafiki wa kike awe soilmate wake... akufundishe hii "let" naamini kabisa utarejea...
hakuna ambae hajaishi maisha ya hovyo ..mm mpaka keshokutwa nina scars moyoni mwangu lakini nnapotumia Let napata amani kwa kiasi kikubwa
 
Back
Top Bottom