Sikununu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 341
- 101
Nilikuwa nasikia tu mambo ya mabinti wa Tanga wanavyojua kubembeleza wanaume sasa ndio nmeamin maana hivo visanga ninavyopewa na huyu binti nimebaki kucheka cheka tu mpaka nimehamia kwake kutoka hotel niliyopangiwa na kampuni, kiufupi tumekuja kwenye semina ya wiki mbili pamoja na work shop.
Sasa nikapewa tahadhari kabisa wakati ninaenda kwamba huko tanga mabinti wake hatari yaani mda wote khanga moja bila kuvaa pichu, mie nikajifanya nunda kwamba siwezi kunasa mie kanda maalumu bwana...eeh kuna jamaa akanihadithia kwamba kuna mzee mmoja tokea aje kwenye baseline survey mwaka 94 mpaka leo kanasa kurudi hataki.
Kuna mwaka mmoja alijitahidi kuondoka mpaka na tiketi ya gari kakata na kupanda Basi la Raha leo ile kufika pale daraja la wami akamwambia dereva naomba unishushe nimesahau koti langu tanga nataka nilifate, dereva akawa hana budi ikabidi amshushe yule mzee mbio kurudi Tanga mpaka leo yupo kule familia yake ndio inalia huku Dar.
Huyu mtoto kusema na ukweli kanikamata mpaka naona kama historia ya kusahau koti itajirudia kwangu.Ilianza kama mzaha nipo hotel room nikasikia hodi nikajua wahudumu kwenda kufungua nikakuta mwanamke ananiambia sory kaka nmepotea room nikasema poa, eeh huo mchezo umeendelea kama mara tatu hivi.
Wanawake tu ndio wanapotea room nikasema msinitanie nyie mje mseme mie kibisa.Kabla sijahamaki limekuja toto hilo kama mjukuu wa mfalme suleimani kanigeuzia mgongo nikamuwai kabla hajasema lolote hujapotea chumba ndio hichi hichi na yeye akaitikia haya, yaani kilichotokea mpaka leo nmehamia kwake chai tu inaungwa kama biriani.
Naombeni ushauri nifanyeje kabla na mie sijasahau koti
Sasa nikapewa tahadhari kabisa wakati ninaenda kwamba huko tanga mabinti wake hatari yaani mda wote khanga moja bila kuvaa pichu, mie nikajifanya nunda kwamba siwezi kunasa mie kanda maalumu bwana...eeh kuna jamaa akanihadithia kwamba kuna mzee mmoja tokea aje kwenye baseline survey mwaka 94 mpaka leo kanasa kurudi hataki.
Kuna mwaka mmoja alijitahidi kuondoka mpaka na tiketi ya gari kakata na kupanda Basi la Raha leo ile kufika pale daraja la wami akamwambia dereva naomba unishushe nimesahau koti langu tanga nataka nilifate, dereva akawa hana budi ikabidi amshushe yule mzee mbio kurudi Tanga mpaka leo yupo kule familia yake ndio inalia huku Dar.
Huyu mtoto kusema na ukweli kanikamata mpaka naona kama historia ya kusahau koti itajirudia kwangu.Ilianza kama mzaha nipo hotel room nikasikia hodi nikajua wahudumu kwenda kufungua nikakuta mwanamke ananiambia sory kaka nmepotea room nikasema poa, eeh huo mchezo umeendelea kama mara tatu hivi.
Wanawake tu ndio wanapotea room nikasema msinitanie nyie mje mseme mie kibisa.Kabla sijahamaki limekuja toto hilo kama mjukuu wa mfalme suleimani kanigeuzia mgongo nikamuwai kabla hajasema lolote hujapotea chumba ndio hichi hichi na yeye akaitikia haya, yaani kilichotokea mpaka leo nmehamia kwake chai tu inaungwa kama biriani.
Naombeni ushauri nifanyeje kabla na mie sijasahau koti