Nmemtukana nani tena
Hakuna wanawake pasua kichwa kamahao wa Tanga,hata umpe kilakitu bado lazima awe nabwana nje, alafu wanakelele sana yaani nyumba haikaliki.
Pumbavu kabisa wanawake wahuko Tanga.yaani sitaki hatakuwasikia.
Kifupi hao wanawezana wao kwawao sasa wewe toka zako bara uende ukaoe uko utajuta. Wananidhamu mwanzoni tu ila akishaingia ndani ndio utajua tabia yake.
Haaaaaaaaaah haaaaaaaaah haaaaaaaah hii ni shida "waja leo haurudi ulipotoka tena" kunanii paleee eeeehhh
Naniuuu bwana ni kweli....hapa nipo nakunywa uji wa hiriki, uku nimevalishwa msuli...kibalazani
Sema mie lazima nmtoroke we subir tu.
Yaani wanawake wa tanga wako that much of prostitutes! Ni matusi kwa makabila ya wenzio!
Hakuna wanawake pasia kichwa kamahao wa Tanga,hata umpe kilakitu bado lazima awe nabwana nje, alafu wanakelele sana yaani nyumba haikaliki.
Pumbavu kabisa wanawake wahuko yaani sitaki hatakuwasikia
Ukifanikiwa kutoroka lete mrejesho. Ila stori yako nimecheka sana.
Khaa!! Kiongozi kweli huyo kakuchanganya. Wanazuoni wanaita ''new experience" :glasses-nerdy:Mie najua basi nmekariri tu per diem ni pesa unayopewa safarini retirement ni mchanganuo wa yale uliyoyatumia..correct me if I'm wrong.
Mie sio muhasibu
Sasa wewe unatafuta ugomvi na watu huko kote ulipofika kwa nini?
Mie nmeelezea yalinisibu
Blaza, hivi ukipewa hela ya per diem, how do you retire? una attach receipt gani? ama unatengenza simple form unaonesha how many days, wapi, kisha tarehe na signature yako?Tuseme hivi, per diem ni sehemu ya imprest. Vitu vingine ni kama hela ya nauli au usafiri (mafuta, matengenezo nk) kama unatumia gari la ofisi kwa mfano. Kunaweza kuwa na vitu vingine kutegemea aina ya kazi. Wengine wanapewa hadi ya kuwalipa vibarua, stationary nk
Kwa hiyo per diem ni item moja tu kwenye imprest. Lakini naelewa kwamba kwa wengine per diem ndio kila kitu hamna cha ziada kufuatana na hali halisi ya safari.