Mie najua basi nmekariri tu per diem ni pesa unayopewa safarini retirement ni mchanganuo wa yale uliyoyatumia..correct me if I'm wrong.
Mie sio muhasibu
Naniuuu bwana ni kweli....hapa nipo nakunywa uji wa hiriki, uku nimevalishwa msuli...kibalazani
Sema mie lazima nmtoroke we subir tu.
Nakuona mzee umekalishwa kwenye kigoda halafu kengele zimewekwa kwenye kisosa
Itakuwa hiyo hoteli uliyofilia ndiyo mchezo wao. Tena siyo kwako tu kwa wageni wote wanaofikia hapo.
Naniuuu bwana ni kweli....hapa nipo nakunywa uji wa hiriki, uku nimevalishwa msuli...kibalazani
Sema mie lazima nmtoroke we subir tu.
Kuna wakuu humu JF tukiwakutanisha na wakae wiki moja tu,hakika wachanganye stori zao naamini wana JF wote tutapata hela ya kujikimu na kuiteka Hollywood...😀😀:thumbup::thumbup:
Itajeni basi jamani tuiepuke wenzenu tuna roho nyepesi mjue...
Tuseme hivi, per diem ni sehemu ya imprest. Vitu vingine ni kama hela ya nauli au usafiri (mafuta, matengenezo nk) kama unatumia gari la ofisi kwa mfano. Kunaweza kuwa na vitu vingine kutegemea aina ya kazi. Wengine wanapewa hadi ya kuwalipa vibarua, stationary nk
Kwa hiyo per diem ni item moja tu kwenye imprest. Lakini naelewa kwamba kwa wengine per diem ndio kila kitu hamna cha ziada kufuatana na hali halisi ya safari.