Sikulazimishi kama hautaki kuaminiMkuu hakiwezekani kitu kama hicho mwanamke umtongoze kwamba mfano huna kazi au unafanya biashara ndogo kipato kiasi akupige kizinga never kwanza kukubali 100 kwa mmoja ila ukijifanya laki si pesa vizinga kama kawaida. Beby nikwambie kitu lazima hiyo![]()
Mkuu tunamalize utata ushindi nakupa 🙌🙌🙌🙌Sikulazimishi kama hautaki kuamini
Yupo mmoja nilimkuta anafanya kwa kua nilimpenda na mazingira ya sehemu aliyoajiriwa pamoja na ugumu wa kazi aliyokua anaifanya sikufurahishwa nayo nikaamua kumfungulia biashara yake mwenyewe na kwa siku anaingiza si chini ya 50,000/- lkn bado haoni hata aibu kuniomba nimnunulie kitu cha 10,000/- na sio kua anaomba mara moja moja.
Umatonya upo damuni karibia wanawake wengi kwa sasa.
Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
Nimecheka mnooKuitwa mume kwangu sidhani kama ni shida we niite vyoyote unavyojisikia hata ukiinita my stigla joji au my standadigeji sawa tu ili mradi usinitukane au kunipiga vizinga vya kipumbavu.
Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
Huu ndio ukwelihe he he eti mume.. wazazi wake wanakujua?we ni kibaka tu labda kama anataka akupige mizinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi wamekua kama vichaa mara utasikia simu imeharibika,njaa,nauli,vocher etc kuja kugundua jamaa alikua serious its too late kashaliwa na kufyekelewa mbali.