Wanawake wa miaka hii ni hopeless

Wanawake wa miaka hii ni hopeless

Tayari ushafanyiziwa
Kwanza kitendo cha kuvurugwa huko na kuleta mada humu nimekushusha vyeo kabisaaaa bado hujakamilika kuitwa mwanaume........si lazima kila jambo mlilete humu
mpaka siku nikutifue ndio utanijua mimi ni mwanaume au mmama
 
Hivi neno hopeless kwa tafsiri ya kiswahili ni nini labda tuanzie hapo ,maana inawezekana mtoa mada alikuwa na maana nyingine
 
Mtu unajijua unamtu wako, lakini eti unaenda whatsapp status unamuandikia mwanaume mwingne ujumbe mmoja romantic sana eti unajidai unaijali Birthday yake sana.

Na mpaka unaandika whatsapp inamaana huyu jamaa mnachatigi whatsapp so status yako ataiona, na nilishapataga skendo kipindi flan kua jamaa anakukunja!

Duh! eti unajdai unampenda jamaa kama shabik yake tuu, au kwakua majina yenu ya ukoo yamefanana ndio ikawa rahisi kumvulia jamaa chupi?? umepagawa na umaarufu wa mshkaji?

Wanawake wa miaka hii mmekua mabomu sana!
Hayo ndo matumizi ya K.au unataka uchukue ukafugie kuku?
 
Daaah aya mambo ya status za wanawke ziache tu mkuu hasa mademu wa vyuo ...labda kama demu unampango nae.
Mm kuna demu nlimpenda kweli nlikuwa na mpang wa kumuoa ila kuna sku niliona yale maneno ya kimahaba kwa mbali ktk status yke akimuwish jamaa fulaani hv sikupotza muda kuview nilimuondoa ktk plan zangu kwakweli japo iliniuma sana....apa npo navzia siku anipe papuchi tufunge ukurasa.

Kwakifupi status zinasaidia kujua upo wangp katika circle ya mahusiano..
 
Pole Comrade, hao ndio wana JF, siku wakiamka vibaya ni balaa lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom