Wanawake wa miaka hii ni hopeless

Wanawake wa miaka hii ni hopeless

mtu unajijua unamtu wako, lakini eti unaenda whatsapp status unamuandikia mwanaume mwingne ujumbe mmoja romantic sana eti unajidai unaijali Birthday yake sana.

na mpaka unaandika whatsapp inamaana huyu jamaa mnachatigi whatsapp so status yako ataiona, na nilishapataga skendo kipindi flan kua jamaa anakukunja!

duh! eti unajdai unampenda jamaa kama shabik yake tuu, au kwakua majina yenu ya ukoo yamefanana ndio ikawa rahisi kumvulia jamaa chupi?? umepagawa na umaarufu wa mshkaji?

wanawake wa miaka hii mmekua mabomu sana!
 
Mzee ukiona hivyo jiongeze, Muda mwingine kumwambia mtu nimechoka kuishi na wewe au sikutaki ni mtihani
 
Unamfwatilia hivo unataka kumuoa?
Kama huna huo mpamgo mwache afurahie ujana.
 
daaaaah jamaa umeongea kwa hisia sana,hebu kunywa pepsi 1 utoe hilo fundo kooni kisha sikiliza wimbo wa barnaba unaitwa YATAKWISHA

ANGALIZO
uwe mbali na vitu hatarishi kama visu,chupa,panga,kamba,sumu ya panya na magunia ya mkaa wakati unauskiliza huo wimbo maana nakuhakikishia hautakula ugali leo appetite itapotea mazima
madem hawa wanapenda kut0mbw@ sana
 
Tayari ushafanyiziwa
Kwanza kitendo cha kuvurugwa huko na kuleta mada humu nimekushusha vyeo kabisaaaa bado hujakamilika kuitwa mwanaume........si lazima kila jambo mlilete humu
Mtu unajijua unamtu wako, lakini eti unaenda whatsapp status unamuandikia mwanaume mwingne ujumbe mmoja romantic sana eti unajidai unaijali Birthday yake sana.

Na mpaka unaandika whatsapp inamaana huyu jamaa mnachatigi whatsapp so status yako ataiona, na nilishapataga skendo kipindi flan kua jamaa anakukunja!

Duh! eti unajdai unampenda jamaa kama shabik yake tuu, au kwakua majina yenu ya ukoo yamefanana ndio ikawa rahisi kumvulia jamaa chupi?? umepagawa na umaarufu wa mshkaji?

Wanawake wa miaka hii mmekua mabomu sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom