comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,527
- 11,693
Wanakwambia mzigo mzito mpe Mnyamwezi!!!
Ni kwa Mara nyingine tenaaa comrade kijana mpole naunguruma mithili ya Simba dume awapo nyikani!!!
Aseeee!!!
Ohhoooo!
Ebanaeeee miaka miwili nyuma nilikwenda pande za Manyara aseeee! Ni katika shughuli zangu za kibiashara, basi wakati napiga misele katika viunga vya mkoa ule wa Manyara nilienjoy Sana!!
Ebbana ndio nikashangaa kuona warembo wa kimanyara wakiwa wametamalaki kila kona ya mji ulee'. .wanawake ni wazuri wale aseee nikasema hapa nipo Manyara kweliiii!???
Wanawake wana nywele za singa zilizochagizwa na shepu, sura na rangi adimuuu!!
Kama tujuavyo makabila ya Tanzania yana asili yake; kama wangoni wana asili ya kwa madiba bondeni a.k.a south Africa, je Hawa watu wa manyara wenye shehena ya warembo wana asili ya wapi???
Wayaaaaa
Ndio nachomokaaa hivyoooo
Ukichimama Nchale!!
Ukikaa nchaleeee!!! Ukichuchumaa nchaleeee""!
Wewe tuuuu
Ni kwa Mara nyingine tenaaa comrade kijana mpole naunguruma mithili ya Simba dume awapo nyikani!!!
Aseeee!!!
Ohhoooo!
Ebanaeeee miaka miwili nyuma nilikwenda pande za Manyara aseeee! Ni katika shughuli zangu za kibiashara, basi wakati napiga misele katika viunga vya mkoa ule wa Manyara nilienjoy Sana!!
Ebbana ndio nikashangaa kuona warembo wa kimanyara wakiwa wametamalaki kila kona ya mji ulee'. .wanawake ni wazuri wale aseee nikasema hapa nipo Manyara kweliiii!???
Wanawake wana nywele za singa zilizochagizwa na shepu, sura na rangi adimuuu!!
Kama tujuavyo makabila ya Tanzania yana asili yake; kama wangoni wana asili ya kwa madiba bondeni a.k.a south Africa, je Hawa watu wa manyara wenye shehena ya warembo wana asili ya wapi???
Wayaaaaa
Ndio nachomokaaa hivyoooo
Ukichimama Nchale!!
Ukikaa nchaleeee!!! Ukichuchumaa nchaleeee""!
Wewe tuuuu