Mkuu mwanamke aki-flash her booooobbbbbbssssss mi binafsi napenda ila inategemea time na mahali.Hivi ni kwa nini wanawake au wasichana wanavaa nguo zinazoacha matiti yao wazi?
Ni ujanja au ni ujinga na upumbavu na ukosefu wa maadili?
Mbona watanzania tunapenda kuiga mambo mabayo tu kutoka kwa wenzetu wakati kuna mambo mengi mazuri ambayo tungeiga kutoka kwa wenzetu?
Mama mzima unafurahi watoto wako wanapoangalia hayo matiti yako? Hayo matiti yako anatakiwa ayaone mume wako na wala siya ya kila mtu! Tuache upumbavu na kuiga vitu vya ajabu ajabu visivyokuwa na tija!
Dada mzima unafurahi baba yako, kaka zako au wadogo zako wanapoyaangalia hayo matiti yako? Je, unawafundisha nini? Tuache ulimbukeni kama hizo ndugu zangu!
<br />KiSWEET kua mtoto mzuri uache kubishana na mwenzio hapo juu maana yeye kila kinachomhusu mwanamke kizuri au kibaya anapinga na kuponda!
<br />Mbona nyie mnavyovalia suruali zenu magotini hatusemi? Tazama mambo yatakayokuletea maendeleo sio vifua vya watu.
Nani aliyejaribu kumfananisha na njiwa?!<br /><br />
<br /><br />
Kuku ni kuku tu!!
Mama mzima unafurahi watoto wako wanapoangalia hayo matiti yako? Hayo matiti yako anatakiwa ayaone mume wako na wala siya ya kila mtu!
<br />ukipendeza kila mtu akakutazama unajiskia vizuri zaidi inakupa confidence........tunaacha wazi tukijua tutavutia attention na tunaipata haswaa!
Tusiwalaumu dada zetu jamani kwani tatizo si wao,tatizo ni vi...a vyao siku hizi viko hot mno kama milipuko ya volcano ijapokuwa hawawezi kusema huo ndo ukweli
<br /><br />
<br /><br />
Wadada huwa ni kazi sana kuelewa!!!!
<br />Mbona nyie mnavyovalia suruali zenu magotini hatusemi? Tazama mambo yatakayokuletea maendeleo sio vifua vya watu.
<br />Nani aliyejaribu kumfananisha na njiwa?!
KiSWEET kua mtoto mzuri uache kubishana na mwenzio hapo juu maana yeye kila kinachomhusu mwanamke kizuri au kibaya anapinga na kuponda!
<br />ukipendeza kila mtu akakutazama unajiskia vizuri zaidi inakupa confidence........tunaacha wazi tukijua tutavutia attention na tunaipata haswaa!
<br />
<br />
Onother "Comfrimation"!