Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,043
Naomba nikiri tu kwamba mimi ni kati ya watu waliofanikiwa kuzurura nchi nyingi za Africa na kuishi nchi mbalimbali naomba niweke wazi kwamba japokuwa wanawake wa kibongo wanachangamoto mbalimbali na tabia zingine tusizozipenda lakini wanawake wa Kitanzania ni bora zaidi kuliko wanawake wengine wakiafrica yanayotukuta huku sisi mabaharia ni adhabu bila chuki, tuwaoe tu dada zetu wakibongo hakuna namna