Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Wewe oa achana na hizo mambo za kuulizia tabia zao kikubwa ni upendo tu na kuheshimianaHahah
Wewe oa achana na hizo mambo za kuulizia tabia zao kikubwa ni upendo tu na kuheshimianaHahah
HahahhahaNa upole wote nilionao, nikimwambia mtu mi Mkurya anaanza kuniogopa.
Kuna vitu inabidi uzoee tu!
Ndiyo maana unataka jamaa aoe 'chama' ili mjirahisishie maisha kupitia yeye!Mkuu mimi ni raia mwema kabisa.
Mwanamke unambadilisha tu tabia kwa mapanga na marungu
Kwani mi mkorofi?Hahahhaha
Handsome una upole gani wewe
Maji mara moja! Chama la wana! Ukioa huyo utaona jinsi washkaji hata wale ulikuwa huna mazoea nao watakavyoanza kukufurahia ukipita!

Unaambiwa sio wachoyo,we unasema asante kwa kunitia moyo.Asante kwa kunitia Moyo
au hujaelewa alichomaanishaTehtehtehOa tu huko Lindi hawa wengine tuache nao
Babe wangu Mnyaturu. Nakupa hizi sifa from how I know relatives wake wote.
Ni weupe, wapole na watiifu Sana. Hawalalamiki ovyo, mimi wa kwangu namfanyiaga mpaka testing, namwambia kesho nakupa laki 5, ikifika siku namwambia hali imekuwa mbaya. Wala hakasiriki, sio kama my previous ladies. Anakuambia tumuombe Mungu atafanya wepesi. Hii ni kwa wote, hata ndugu zake wapole.
Ila Sasa!!! Something I noticed ana tabia ya kuzoeana na wanaume... Hehehehe am sure if I look deep mimi ndio mchepuko alafu some guy ndio main dudeananihakikishia mie ndio baba, na mwepesi sana kuomba msamaha hata nikikwazika kwa wivu wakijinga. Kitu kingine, hataki niwe na mawasiliano na ndugu zake, eg cousins wa kike. Anasema watanichukua. So from this inakuonyesha hili kabila kwao kusema No kuzito. So jipange. Anyway ukoo wote mzuri hehehe bora hata anavyobana mawasiliano maana.
Anyway hope unamiliki butcher... Cause wanapenda nyama hatari.
-callmeGhost
Inasemekana akili za wanyaturu wa 5 ni sawa na akili za mnyiramba mmoja!kila la kheri mkuuWale wenyewe uelewa na wanawake wakinyaturu waje hapa nawazia nikaoe huko napatikana mkoa wa lindi. Tahadhari kejeli hazihitajiki ukiwa hauna comment pita tu kwenye huu uzi.

Nimecheka balaaaaaKaoe2 ndugu kwakua ckuhizi Hatupelekwi Appolo India kazi inamalizwa hpa hpa Mhumbili JKCU, hilo kabila ni zaidi ya maharage ya mbeya hauitaji kua na kuni Gazeti2 ukiwa nalo unaivisha na kula,
Aisee,,lekebisha hyo kauli dadaWanawake malaya