Babe wangu Mnyaturu. Nakupa hizi sifa from how I know relatives wake wote.
Ni weupe, wapole na watiifu Sana. Hawalalamiki ovyo, mimi wa kwangu namfanyiaga mpaka testing, namwambia kesho nakupa laki 5, ikifika siku namwambia hali imekuwa mbaya. Wala hakasiriki, sio kama my previous ladies. Anakuambia tumuombe Mungu atafanya wepesi. Hii ni kwa wote, hata ndugu zake wapole.
Ila Sasa!!! Something I noticed ana tabia ya kuzoeana na wanaume... Hehehehe am sure if I look deep mimi ndio mchepuko alafu some guy ndio main dude


ananihakikishia mie ndio baba, na mwepesi sana kuomba msamaha hata nikikwazika kwa wivu wakijinga. Kitu kingine, hataki niwe na mawasiliano na ndugu zake, eg cousins wa kike. Anasema watanichukua. So from this inakuonyesha hili kabila kwao kusema No kuzito. So jipange. Anyway ukoo wote mzuri hehehe bora hata anavyobana mawasiliano maana.
Anyway hope unamiliki butcher... Cause wanapenda nyama hatari.
-callmeGhost