Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,435
- 1,195
Wale wenyewe uelewa na wanawake wakinyaturu waje hapa nawazia nikaoe huko napatikana mkoa wa lindi. Tahadhari kejeli hazihitajiki ukiwa hauna comment pita tu kwenye huu uzi.
Unachooa ni Kinyatulu au mke ili upate Papuchi mkuu?Wale wenyewe uelewa na wanawake wakinyaturu waje hapa nawazia nikaoe huko napatikana mkoa wa lindi. Tahadhari kejeli haziiyajiki ukiwa hauna comment pita tu kwenye huu uzi.
Very wise comment, ila wanyaturu jamani mmhh.Mmmh mmh mmh tafta mwanamke ambaye unatambua kuwa hata nikifa Leo,watot Wang wanabaki na mam wa maadil gan na atawafundisha nin na atawalisha nin maana dunia tunapita MTU....
Babe wangu Mnyaturu. Nakupa hizi sifa from how I know relatives wake wote.Wale wenyewe uelewa na wanawake wakinyaturu waje hapa nawazia nikaoe huko napatikana mkoa wa lindi. Tahadhari kejeli haziiyajiki ukiwa hauna comment pita tu kwenye huu uzi.

ananihakikishia mie ndio baba, na mwepesi sana kuomba msamaha hata nikikwazika kwa wivu wakijinga. Kitu kingine, hataki niwe na mawasiliano na ndugu zake, eg cousins wa kike. Anasema watanichukua. So from this inakuonyesha hili kabila kwao kusema No kuzito. So jipange. Anyway ukoo wote mzuri hehehe bora hata anavyobana mawasiliano maana.Wana huruma hawa, sio wachoyoWale wenyewe uelewa na wanawake wakinyaturu waje hapa nawazia nikaoe huko napatikana mkoa wa lindi. Tahadhari kejeli haziiyajiki ukiwa hauna comment pita tu kwenye huu uzi.
Acha Uongo jombaaaWanyaturu ni wazuri, kama muolewaji anasoma hii thread simshauri kuolewa Lindi!
Watu wa Lindi hawajui kupenda si me wala ke.
Wanachojua ni kutimbana (toa ai weka o)
Lindi watu wengi wamekulia ujombani.
Nashukuru mkuuKaribu mkuu
Kwanini?Unajitafutia puresha.
Asante kwa kunitia MoyoWana huruma hawa, sio wachoyo
Kuna some character zinafungamana na tribe mkuu ni vema nikajua kidogoUnachooa ni Kinyatulu au mke ili upate Papuchi mkuu?
Kwanini?
Subiri niendelee kukusanya commentsHawabagui kukataa ngumu