gollocko
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 2,945
- 2,283
Duh kishtobe tena?Saa nane usiku unamtuma mwanamke afate boda? We kweli kishtobe....
Duh kishtobe tena?Saa nane usiku unamtuma mwanamke afate boda? We kweli kishtobe....
[emoji1] [emoji1] [emoji1] mkija tena nitawachakza mkuu,kama ni mmoja wao nadhani uliona mziki wangu!Kumbe tulivyo kuachia ,tukaacha na kubaka iyo demu umekuja kutoa report huku kwamba ulitupiga [HASHTAG]#nexttime[/HASHTAG] jipange
sijasema anisaidie kupigana nimesa angenisaidia jambo lolote linalofaa,angepiga hata mayowe nipate msaada sio kunikimbia ningekufaje?Yaani hat nmimeshindwa nimuweke kundi gani. dume zima eti unategemea mwanamke akusaidie kupigana. dah kweli idadi ya wanaume inapungua kila kukicha
sio lazima apigane angerusha hata mawe au angepiga mayowe nipate msaada sio kunikimbia ningekufaje?Sasa Akialibiwa sura utamtaka tena si bora alivyo harmolapa nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
mi nilienda toilet mkuu,nikamwambie acheki bodaboda hapo nje minakuja!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1] [emoji1] [emoji1] wanawake wa mara kumbe ni noma mkuu?ingekuwa na mwanamke wa Mara ungefurahi na roho yako
uongo gani mkuu?[emoji4]Acha uongo ngosha
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Kunywa,kula,kucheza muziki, kukojoa,kukabwa,mizimu ya kisukuma,kungfu,karate,mieleka,Field Mashauzi,Taliban,sarakasi,Mullar Omar,Bruce Lee.nk ..duh yaani mambo yote hayo kwenye robo paragraph kweli wewe kiboko...jitahidi unakipaji wewe....
ungekufa wengine wanachukua mzigosijasema anisaidie kupigana nimesa angenisaidia jambo lolote linalofaa,angepiga hata mayowe nipate msaada sio kunikimbia ningekufaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kujitangaza kua unaweza ngumi?
Hana akili yeyote,saa nane ya usiku huwezi kumtuma mwanamke akatafute bodaboda!
Kama ya kutunga hivi
[emoji1] kucheka ni tiba mkuu!Nmecheka peke yangu kama chizi kwa hii story..! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kumbe tulivyo kuachia ,tukaacha na kubaka iyo demu umekuja kutoa report huku kwamba ulitupiga [HASHTAG]#nexttime[/HASHTAG] jipange