nyaggad
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 1,160
- 694
- Thread starter
- #81
Duh,hao noma mkuu!full kupiga ngumi aisei mpaka utashangaa kuwa huyu ni mwanamke
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh,hao noma mkuu!full kupiga ngumi aisei mpaka utashangaa kuwa huyu ni mwanamke
😀😀😀
[emoji1] asante na wwe pia mkuu!Bwana ngosha pombe+ Mdogo + sukuma= thread [emoji23][emoji23]
Ila nimecheka kweli thanks for your time ngosha
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu siwezi kuwachia wabake mallia wangu aisee!Broo mbona unaroho mbaya kwani ungewaachia wadinye kingefutika nn?
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu kumbe na wwe ni walewale wacha uoga mkuu,sikujua kama mazingira ya pale ni hatari!Hata ningekua mie ningekukimbia mwenzangu ukibakwa unabakiwa nyuma yanini mie niharibu kizazi changu kwa sababu ya mwanaume mjinga kama wewe ambae unaona kabisa ni usiku wa manane lakini unamwagiza mwanamke wako atangulie akatafute boda boda huo si ni wehu!
Imagine kama huyo mwanamke alikua akifatiliwa na kidume huko Club alafu akakuona umeingia Chooni wakati yeye bibie katoka nje si wangekufungia mlango wa choo wambake huko nje alikokwenda!?
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu we ni hatari
mkuu hiyo haiwezi tokea,niliwakimbiza vibaya mno!.Sio kwamba walikubaka wewe baada ya waliyekuwa wanataka kumbaka kutetewa na wewe
Kunywa,kula,kucheza muziki, kukojoa,kukabwa,mizimu ya kisukuma,kungfu,karate,mieleka,Field Mashauzi,Taliban,sarakasi,Mullar Omar,Bruce Lee.nk ..duh yaani mambo yote hayo kwenye robo paragraph kweli wewe kiboko...jitahidi unakipaji wewe....
hapo ni kweli mkuu!Wanawake ni majasiri sana kwa vitu wanavyovitaka wao. Mfano wapo wanaolala makaburini usiku kwa ajili ya jambo fulani.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu Kwa hiyo unaona sawa aliyonifanyia!Unamtumaje mwanamke akatafute bodaboda [emoji15]hata kama ulitaka kwenda toilet ungemwambia akusubiri... alikukomesha.