Wanawake wa JF badilikeni!

Wanawake wa JF badilikeni!

Status
Not open for further replies.

JERUSALEM 2006

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2012
Posts
527
Reaction score
596
Shaloom Wakuu!
Hii ni kwa ajiliya wale inayowahusu tuu! Kama haikuhusu thn soma kimyakimya halafu tembea.

Juzi Ilikua mara nyingine tena mimi kukutana na mdada mmoja wa JF. Mimi ndo nilimuanza baada yakuona anajisifu na kujiona sana kwenye sector ya relationship. Niliona ngoja nione ujasiri wa huyu dada maana kupitia post zake anajiremba visivyorembeka, anajisifu visivyo sifa, anaponda wenzake haswa wakina kaka.

Bila hiyana dada wa watu alikubali kukutana na mimi maeneo ya Survey pale Brajec, nilitajia kuona malaika wa kiafrica, nilitamani muda uende ili nione huyu sweet mtoto anyejiona hana kasoro kwenye post zake.

Simu yangu ya mchina iliita, na nikaipokea na kumuelekeza nilipokaa. baada kama ya dakika mbili hivi, alitokea mdada mfupi mweupe kiasi, kavaa sketi fupi, viatu virefu, na weaving flani hivi.

Sasa mwonekano wake kwa kweli ulinichefua, alikua anafanana na Malaya wa Kinondoni Leaders hivi, kibaya zaidi ni pale weaving lake lilipo peperushwana upepo hee kumbe dada wa watu anapara tenu chupa.

Aisee niliumbuka na kuumi a sana, mdada anajisifia nyuma ya keyboard lakini in reality ni shakunaku tu. Huyu ni dada wa tatu ninayekutana naye kutoka JF, na wengi wao huwa wanajitangaza wenyewe eti wanataka wenza.
Jamani badilikeni. Be yoselves!

Samahani kama nimekuudhi.
 
Shaloom Wakuu!
Hii ni kwa ajiliya wale inayowahusu tuu! Kama haikuhusu thn soma kimyakimya halafu tembea.

Juzi Ilikua mara nyingine tena mimi kukutana na mdada mmoja wa JF. Mimi ndo nilimuanza baada yakuona anajisifu na kujiona sana kwenye sector ya relationship. Niliona ngoja nione ujasiri wa huyu dada maana kupitia post zake anajiremba visivyorembeka, anajisifu visivyo sifa, anaponda wenzake haswa wakina kaka.

Bila hiyana dada wa watu alikubali kukutana na mimi maeneo ya Survey pale Brajec, nilitajia kuona malaika wa kiafrica, nilitamani muda uende ili nione huyu sweet mtoto anyejiona hana kasoro kwenye post zake.

Simu yangu ya mchina iliita, na nikaipokea na kumuelekeza nilipokaa. baada kama ya dakika mbili hivi, alitokea mdada mfupi mweupe kiasi, kavaa sketi fupi, viatu virefu, na weaving flani hivi.

Sasa mwonekano wake kwa kweli ulinichefua, alikua anafanana na Malaya wa Kinondoni Leaders hivi, kibaya zaidi ni pale weaving lake lilipo peperushwana upepo hee kumbe dada wa watu anapara tenu chupa.

Aisee niliumbuka na kuumi a sana, mdada anajisifia nyuma ya keyboard lakini in reality ni shakunaku tu. Huyu ni dada wa tatu ninayekutana naye kutoka JF, na wengi wao huwa wanajitangaza wenyewe eti wanataka wenza.
Jamani badilikeni. Be yoselves!

Samahani kama nimekuudhi.
Mbona huweki jina na picha?
 
Ni kawaida ya Females.....! thanx nadhani mwenyewe atakuelewa
 
Nimekuja mbio nkajua kutakua na picha,
Weka picha mkuu..ata ya kipara tu alichokua nacho
 
nimesoma na ss natembea...ila ebu nicheke kwanza...hahahahahaaaaa...ok bye
 
hahahahhahaaa umenichekesha sana, ila pia unavyowafanyia wenzio sio vzr kaka, kwani we nia yako ya kukutana nao ni nini hasa? je na wewe unatafuta mwenza au? kama ndivyo ukikutana na mtu ukaona hakufai kaa kimya sio kuja kuwadhalilisha humu
 
huyu jamaa hana tofauti na holygrail!

vinginevyo naomba niseme tu ni yeye!!!

majuzi alikuja na kusema wadada wanamsumbua sana pale CoET.. tukakausha!

kipindi kile kasema wahaya ooh waache kujiuza, tukakausha! leo hii tena anakuja kuponda wabebez wa JF!

umechefua meeen! no perfect woman in this world, no man too!

next time time you post, dont use molasses, spices and flavorings (konyagi)
 
Last edited by a moderator:
hahaha kazi mnayo mwee!! kumbeee kizuri chajiuza.na kibaya.........
 
usiweke picha bwana lakin tuwekee 'AVATAR' yake.
 
Huna lolote, huna kazi ya kufanya hadi upange hizo meeting zisizo rasmi ,wanaume fekero wa jf bhana
 
Je wewe ni handsome kama mimi? Unaweza kuwa unaponda wenzako kumbe wao ndio wanakukimbia na kukuzimia simu baada ya kugundua wewe ni kituko.

Kuna uwezekano mkubwa wewe ndio muanga. Mkikutana wanakukimbia kwa jinsi ulivyo hivyo umeona umalizie hasira kwa kuwachafulia jina.
 
Sasa mwonekano wake kwa kweli ulinichefua, alikua anafanana na Malaya wa Kinondoni Leaders hivi, kibaya zaidi ni pale weaving lake lilipo peperushwana upepo hee kumbe dada wa watu anapara tenu chupa.



Samahani kama nimekuudhi.

Hilo wingi lilipeperushwa!!!!!???? What a coincidence?? Yani coz huwa anajisifia na we umeenda kuonana nae ndo weaving likapeperushwa?? mmmhhh!!! haya bwana.

Hapo pa malaya wa kinondoni sina cha kusema!!!

Ngoja na yeye aje tusikie atasemaje maana inawezekana hii story unaiwaza tuuu
 
hahahahhahaaa umenichekesha sana, ila pia unavyowafanyia wenzio sio vzr kaka, kwani we nia yako ya kukutana nao ni nini hasa? je na wewe unatafuta mwenza au? kama ndivyo ukikutana na mtu ukaona hakufai kaa kimya sio kuja kuwadhalilisha humu

Matambo ya mtu ndo yanakupa shauku ya kumjua undani wake mfano.kila siku anaandika wanawake wazuri kama huna pesa wataishia kuwa dada zako,hii itakufanya utake kujua sura yake inaonekanaje,mara gali langu la tatu nimelichukua bandarini leo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom