JERUSALEM 2006
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 527
- 596
Shaloom Wakuu!
Hii ni kwa ajiliya wale inayowahusu tuu! Kama haikuhusu thn soma kimyakimya halafu tembea.
Juzi Ilikua mara nyingine tena mimi kukutana na mdada mmoja wa JF. Mimi ndo nilimuanza baada yakuona anajisifu na kujiona sana kwenye sector ya relationship. Niliona ngoja nione ujasiri wa huyu dada maana kupitia post zake anajiremba visivyorembeka, anajisifu visivyo sifa, anaponda wenzake haswa wakina kaka.
Bila hiyana dada wa watu alikubali kukutana na mimi maeneo ya Survey pale Brajec, nilitajia kuona malaika wa kiafrica, nilitamani muda uende ili nione huyu sweet mtoto anyejiona hana kasoro kwenye post zake.
Simu yangu ya mchina iliita, na nikaipokea na kumuelekeza nilipokaa. baada kama ya dakika mbili hivi, alitokea mdada mfupi mweupe kiasi, kavaa sketi fupi, viatu virefu, na weaving flani hivi.
Sasa mwonekano wake kwa kweli ulinichefua, alikua anafanana na Malaya wa Kinondoni Leaders hivi, kibaya zaidi ni pale weaving lake lilipo peperushwana upepo hee kumbe dada wa watu anapara tenu chupa.
Aisee niliumbuka na kuumi a sana, mdada anajisifia nyuma ya keyboard lakini in reality ni shakunaku tu. Huyu ni dada wa tatu ninayekutana naye kutoka JF, na wengi wao huwa wanajitangaza wenyewe eti wanataka wenza.
Jamani badilikeni. Be yoselves!
Samahani kama nimekuudhi.
Hii ni kwa ajiliya wale inayowahusu tuu! Kama haikuhusu thn soma kimyakimya halafu tembea.
Juzi Ilikua mara nyingine tena mimi kukutana na mdada mmoja wa JF. Mimi ndo nilimuanza baada yakuona anajisifu na kujiona sana kwenye sector ya relationship. Niliona ngoja nione ujasiri wa huyu dada maana kupitia post zake anajiremba visivyorembeka, anajisifu visivyo sifa, anaponda wenzake haswa wakina kaka.
Bila hiyana dada wa watu alikubali kukutana na mimi maeneo ya Survey pale Brajec, nilitajia kuona malaika wa kiafrica, nilitamani muda uende ili nione huyu sweet mtoto anyejiona hana kasoro kwenye post zake.
Simu yangu ya mchina iliita, na nikaipokea na kumuelekeza nilipokaa. baada kama ya dakika mbili hivi, alitokea mdada mfupi mweupe kiasi, kavaa sketi fupi, viatu virefu, na weaving flani hivi.
Sasa mwonekano wake kwa kweli ulinichefua, alikua anafanana na Malaya wa Kinondoni Leaders hivi, kibaya zaidi ni pale weaving lake lilipo peperushwana upepo hee kumbe dada wa watu anapara tenu chupa.
Aisee niliumbuka na kuumi a sana, mdada anajisifia nyuma ya keyboard lakini in reality ni shakunaku tu. Huyu ni dada wa tatu ninayekutana naye kutoka JF, na wengi wao huwa wanajitangaza wenyewe eti wanataka wenza.
Jamani badilikeni. Be yoselves!
Samahani kama nimekuudhi.