Wanawake wa Dar

Mkuu karibu dar, ww ukiona shore mzuri basi jitahidi kukemea tu "kwa jina la yesu" nyingiii, ukifanya hivyo utarudi mkoa salama u salmini bila buguza

ahaaaaaaaaaaaaaa!
 
Aisee Dar pesa yako mkuu. Kutongoza sana ni rare sana.
Ila kuwa macho, huku wanawake wako macho mfukoni sanaaaa!!!!
Chunguza utaona, hata JF humu humu wanaaksi ninachosema....

Nimeshajaribu wengi, nimeona mengi. Si under 30 wala over 30! Wote wako active kwa zaidi ya 85%.

Ila kama upo hapa kwa ajili ya sex tourism, endelea kuwala!
 
Mimi ndo naingia hata sijui gesti, nikipata Nitaanza kuwaangalia hao vidosho
 
Wewe jamaa wapi mrejesho au hukufaidi watoto wa jiji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…